Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tegete astaafu soka, Kaseja anayenitaka aje nipo

Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Jerryson Tegete ameamua kupumzika kucheza soka msimu ujao, wakati kipa Juma Kaseja akisema yuko tayari kucheza timu yoyote inayomhitaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yanga yawatema Kaseja, Tegete

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amemwengua, kipa Juma Kaseja na mshambuliaji Jerryson Tegete katika kikosi chake cha wachezaji 19 kinachoondoka nchini leo kuelekea Comoro kuikabili Komorozine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard astaafu soka

Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34

 

11 years ago

BBCSwahili

Etoo astaafu soka ya kimataifa

Mshambulizi wa Cameroon Samuel Etoo amestaafu soka ya kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Song astaafu soka ya kimataifa

Mchezaji wa Cameroon West Ham Alex Song amestaafu kucheza soka ya kimataifa baada ya kujumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa

 

11 years ago

BBCSwahili

Xavi Hernandez astaafu soka

Kiungo wa Barcelona na Spain Xavi Hernandez ametangaza kustaafu soka la kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa

Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa.

 

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa

Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …

December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

MillardAyo

PICHA 10: Mastaa wa soka Bongo Niyonzima, Kaseja, Okwi, Manula na Himid wakiwa na wake zao

Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya mastaa wa muziki kuonekana hadharani au katika mitandao ya kijamii wakiwa na wapenzi wao, inawezekana pia umewahi kuwasikia au kuwaona mastaa mbalimbali wa soka Tanzania lakini hujawahi kupata nafasi ya kuwaona wakiwa na wake zao. Leo February 17 2018 naomba nikusogezee upande wa pili wa maisha binafsi ya mastaa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani