Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yawatema Kaseja, Tegete

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amemwengua, kipa Juma Kaseja na mshambuliaji Jerryson Tegete katika kikosi chake cha wachezaji 19 kinachoondoka nchini leo kuelekea Comoro kuikabili Komorozine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tegete astaafu soka, Kaseja anayenitaka aje nipo

Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Jerryson Tegete ameamua kupumzika kucheza soka msimu ujao, wakati kipa Juma Kaseja akisema yuko tayari kucheza timu yoyote inayomhitaji.

 

10 years ago

Vijimambo

MECHI 15 LANGONI AKIWA YANGA NA KARUHUSU GOLI 10 YANGA YA SEMA NENDA KASEJA







YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema MuroMwishoni mwa mwaka jana, Kaseja...

 

9 years ago

Mwananchi

Tegete, Yanga watishana

Polisi na wadau wengine wa soka mjini Shinyanga juzi waliepusha shari baina ya mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Jerry Tegete na shabiki wa klabu hiyo.

 

10 years ago

GPL

Mzee Tegete aivaa Yanga

Straika wa Yanga, Jerry Tegete. Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya straika wa Yanga, Jerry Tegete kuiongoza timu hiyo kuibuka na ushindi ugenini tangu kuanza kwa michuano ya Ligi Kuu Bara msimu huu ilipocheza dhidi ya Stand United ya Shinyanga, baba mzazi wa mchezaji huyo, Mzee John Tegete, ameuvaa uongozi wa klabu hiyo na kuutaka uache majungu. Tegete aliifungia Yanga mabao mawili ilipoitandika Stand United mabao 3-0,...

 

10 years ago

GPL

Tegete, Mrwanda watemwa Yanga

Mkongwe wa Yanga, Jerry Tegete. Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
BENCHI la ufundi la Yanga chini ya Mdachi, Hans van Der Pluijm, limedaiwa kufanya maamuzi magumu ambayo kwa namna moja au nyingine, yatawashangaza wadau wengi wa klabu hiyo. Imedaiwa kuwa kocha huyo ambaye ameiongoza Yanga msimu huu kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, amependekeza wachezaji saba kuondolewa kutokana na mchango yao finyu msimu mzima, akiwemo mchezaji...

 

9 years ago

Mwananchi

Julio: Tegete ifunge Yanga

Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’  amesema mshambuliaji wake Jerryson Tegete amekuwa ‘mtaam kama Mcharo’ lakini  amemtaka kuthibitisha ubora wake kwa kuifunga timu yake ya zamani, Yanga watakayokutana nayo Jumatano ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Yanga ajitetea kwa Tegete

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amejitetea kwa uamuzi wake wa kumtoa mshambuliaji Jeryson Tegete na kumwingiza Hussein Javu wakati wa mechi dhidi ya Prisons.

 

10 years ago

Mwananchi

Tegete: Subirini, ndiyo kwanza nimeanza kazi Yanga

Kazi imeanza kwa mshambuliaji Jerryson Tegete ambaye baada ya kuitungua Stand United ya hapa kwa mabao mawili, Jumamosi ameeleza kuwa hakuna kulala.

 

10 years ago

GPL

COUTINHO, TEGETE WAIPA PRESHA YANGA IKIIVAA AZAM

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho. Na Wilbert Molandi DAKTARI wa Klabu ya Yanga, Juma Sufiani, ametamka kuwa hatma ya kiungo wao mshambuliaji, Andrey Coutinho kuwavaa wapinzani wao, Azam FC, inatarajiwa kujulikana leo Ijumaa jioni. Timu hizo zinatarajiwa kujitupa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi ya Ngao ya Jamii, keshokutwa Jumapili, ambapo kiungo huyo raia wa Brazil ni majeruhi kama ilivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani