Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DCI MNGULU ASTAAFU

Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu. Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya. Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ajali za magari bado tishio-DCI Mngulu

>Jeshi la Polisi nchini limesema ajali za barabarani bado ni tishio kwa maisha ya watu na kwamba kati ya Januari na  Novemba mwaka huu watu 3,749 walikufa kwa ajali ikilinganishwa na watu 3,741 waliokufa mwaka 2012.

 

11 years ago

IPPmedia

Director of Criminal Investigations (DCI), Isaya Mngulu


IPPmedia
Director of Criminal Investigations (DCI), Isaya Mngulu
IPPmedia
Sixteen people have been arrested in connection with recent bomb explosions in Arusha which killed five people and injured several others. Briefing reporters in Arusha yesterday, Director of Criminal Investigations (DCI), Isaya Mngulu said the suspects are ...

 

11 years ago

IPPmedia

Director of Criminal Investigations (DCI), Issaya Mngulu


IPPmedia
Director of Criminal Investigations (DCI), Issaya Mngulu
IPPmedia
Suspected bandits threw a bomb at a passengers' minibus, killing three passengers and seriously injuring six others yesterday midmorning between the border villages of Kilelema and Migongo in Kasulu District, Kigoma Region. Kilelema village chairman ...

 

11 years ago

IPPmedia

Issaya Mngulu, Director of Criminal Investigations (DCI)


IPPmedia
Issaya Mngulu, Director of Criminal Investigations (DCI)
IPPmedia
The bombing incidents that have occurred several times in the country are organised by Tanzanians and they have no association with any foreign criminal networks, the Director of Criminal Investigations (DCI), Issaya Mngulu has said. DCI Mngulu told The ...

 

11 years ago

Michuzi

DCI MNGULU KUONGOZA TIMU YA WAPELELEZI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA WIZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI TABORA


 Na Allan Ntana wa Globu  ya Jamii, Tabora  MKUU wa Jeshi la Polisi hapa nchini IGP Ernest Mangu ameteua timu ya askari polisi wataochunguza tuhuma za wizi wa fedha za wakulima wa zao la tumbaku katika vyama vya ushirika vya wakulima hao mkoani Tabora. 
 IGP Mangu amemteua Kamishna wa Polisi Issaya Mngulu (pichani) ambaye ni Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai hapa nchini kuongoza timu.   Timu hiyo ya upelelezi kutoka makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam tayari...

 

11 years ago

BBCSwahili

Li Na astaafu tenisi

Mchezaji nambari moja wa Tennis nchini China LI Na amestaafu

 

11 years ago

GPL

MCHEZAJI TENISI LI NA ASTAAFU

Li Na. MCHEZAJI wa kwanza wa tenisi nchini China kushinda mashindano ya Grand Slam, Li Na, amestaafu kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya muda mrefu. Li, mwenye umri wa miaka 32 ambaye ni staa namba 6 kwa mchezo huo duniani, alisema kuwa anaondoka katika mashindano ya tenisi kwa sababu ya majeraha ya muda mrefu, hasa kwenye magoti yake. Alishinda Grand Slams mara mbili - Frenc Open mwaka 2011 na Australian Open mwaka huu....

 

10 years ago

BBCSwahili

Rio Ferdinand astaafu

Aliyekuwa mlinzi wa timu ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand amestaafu kucheza kandanda ya kulipwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa SpringBoks astaafu

Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani