DCI MNGULU KUONGOZA TIMU YA WAPELELEZI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA WIZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEPteeozpoo/U5ib1O3LSqI/AAAAAAAFp04/hUqnEU8WYmo/s72-c/download+(3).jpg)
Na Allan Ntana wa Globu
ya Jamii, Tabora
MKUU wa Jeshi la Polisi hapa nchini IGP Ernest Mangu ameteua timu ya askari polisi wataochunguza tuhuma za wizi wa fedha za wakulima wa zao la tumbaku katika vyama vya ushirika vya wakulima hao mkoani Tabora.
IGP Mangu amemteua Kamishna wa Polisi Issaya Mngulu (pichani) ambaye ni Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai hapa nchini kuongoza timu.
Timu hiyo ya upelelezi kutoka makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam tayari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s72-c/22.jpg)
WAKULIMA WA TUMBAKU WAULALALMIKIA UBADHILIFU MKUBWA WA FEDHA ULIOFANYWA NA VYAMA VYA USHIRIKA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s1600/22.jpg)
Aidha,Wananchi wa Sikonge wameulalamikia ubadhilifu huo mkubwa wa fedha...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
DCI atuma timu ya wapelelezi sakata la mauaji Kilimanjaro
11 years ago
Habarileo12 Jun
DCI, wenzake kuchunguza wizi wa mabilioni
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Issaya Mngulu na timu yake wamewasili mkoani hapa kwa ajili ya kufanya uchunguzi ili kubaini wizi katika vyama vya msingi vya ushirika ambapo zaidi ya Sh bilioni 12 hazijulikani zilipo mkoani Tabora.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
DCI Mgulu kuongoza timu ya makachero
NA MOHAMMED ISSA
SAKATA la wizi wa mabilioni ya fedha za wakulima wa tumbaku, limechukua sura mpya baada ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mgulu, kuwasili mkoani Tabora kwa ajili ya uchunguzi wa ufisadi huo.
DCI Mgulu amewasili mkoani humo, ikiwa ni siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete, kumuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu, kutuma timu ya makachero kuwahoji vigogo wa vyama vya ushirika waliofanya ufisadi dhidi ya fedha za wakulima.
Ubadhirifu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s72-c/T2.jpg)
TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s1600/T2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IRKB-fosws8/Xt_30S47bGI/AAAAAAALtQM/CMSotMtAZTUIRI2kmC8WZcJEC5WtJ51DQCLcBGAsYHQ/s1600/T1.jpg)
Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DCI MNGULU ASTAAFU
11 years ago
IPPmedia30 May
Director of Criminal Investigations (DCI), Isaya Mngulu
IPPmedia
IPPmedia
Sixteen people have been arrested in connection with recent bomb explosions in Arusha which killed five people and injured several others. Briefing reporters in Arusha yesterday, Director of Criminal Investigations (DCI), Isaya Mngulu said the suspects are ...
11 years ago
IPPmedia15 Jul
Issaya Mngulu, Director of Criminal Investigations (DCI)
IPPmedia
IPPmedia
The bombing incidents that have occurred several times in the country are organised by Tanzanians and they have no association with any foreign criminal networks, the Director of Criminal Investigations (DCI), Issaya Mngulu has said. DCI Mngulu told The ...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10