Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DCI, wenzake kuchunguza wizi wa mabilioni

MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Issaya Mngulu na timu yake wamewasili mkoani hapa kwa ajili ya kufanya uchunguzi ili kubaini wizi katika vyama vya msingi vya ushirika ambapo zaidi ya Sh bilioni 12 hazijulikani zilipo mkoani Tabora.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DCI MNGULU KUONGOZA TIMU YA WAPELELEZI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA WIZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI TABORA


 Na Allan Ntana wa Globu  ya Jamii, Tabora  MKUU wa Jeshi la Polisi hapa nchini IGP Ernest Mangu ameteua timu ya askari polisi wataochunguza tuhuma za wizi wa fedha za wakulima wa zao la tumbaku katika vyama vya ushirika vya wakulima hao mkoani Tabora. 
 IGP Mangu amemteua Kamishna wa Polisi Issaya Mngulu (pichani) ambaye ni Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai hapa nchini kuongoza timu.   Timu hiyo ya upelelezi kutoka makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam tayari...

 

11 years ago

Habarileo

Kamati Teule kuchunguza wizi wa nyaraka nyeti

SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amekubali kuunda Kamati Teule kuchunguza wizi wa nyaraka nyeti katika jengo la Ofisi Kuu Kilimani. Inaundwa baada ya Serikali kukiri kuibwa kwa nyaraka hizo.

 

5 years ago

Michuzi

WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa. 
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...

 

11 years ago

GPL

DCI MNGULU ASTAAFU

Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu. Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya. Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DCI amkwepa Kibanda

MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Isaya Mungulu, amekwepa kuzungumzia sakata la kutekwa, kuteswa, kutobolewa jicho na kukatwa kidole kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom...

 

10 years ago

Mtanzania

Diwani Athuman DCI mpya

athumanNa Elias Msuya, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI),.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, kabla ya uteuzi huo, Diwani alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai.
“CP Diwani anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Robert Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria,” inasema taarifa hiyo.
Akizungumzia uteuzi huo, Diwani, alisema matarajio yake ni kuona...

 

11 years ago

Shabaab

DCI probing man to have affiliation to Al


IPPmedia
DCI probing man to have affiliation to Al- Shabaab
IPPmedia
Director of Criminal Investigation (DCI) is now interrogating a man who is part of a group of recently arrested individuals for claiming affiliation to the Somali terrorist group, Al-Shabaab. State Attorneys Brenda Nicki and Adolph Mkini submitted a request for the ...

 

9 years ago

Mtanzania

Mwandosya amuaga DCI Mwaitenda

mwandosyaNa Ibrahim Yassin, Kyela

ALIYEKUWA Waziri katika ofisi ya Rais, Kazi Maalum, Profesa Mark Mwandosya ameongoza mamia ya wananchi wa Wilaya ya Kyela, wakati wa ibada ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Athur Mwaitenda (79) aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi kwa ugonjwa wa kansa ya tezi dume.

Profesa Mwandosya aliitaka jamii nchini kuzisaidia familia za wafiwa pindi wazazi au walezi wao wanapofariki ili kujenga misingi ya upendo unaompendeza...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamishna, DCI kizimbani Zanzibar

Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Zanzibar, Salum Msangi wamefunguliwa kesi mahakamani baada ya kuwakamata watu wanane na kuwahusisha na makosa ya milipuko ya mabomu ikiwamo kuwaweka kizuizini muda mrefu bila ya kuwafikisha mahakamani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani