DCI, wenzake kuchunguza wizi wa mabilioni
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Issaya Mngulu na timu yake wamewasili mkoani hapa kwa ajili ya kufanya uchunguzi ili kubaini wizi katika vyama vya msingi vya ushirika ambapo zaidi ya Sh bilioni 12 hazijulikani zilipo mkoani Tabora.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
DCI MNGULU KUONGOZA TIMU YA WAPELELEZI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA WIZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI TABORA
.jpg)
IGP Mangu amemteua Kamishna wa Polisi Issaya Mngulu (pichani) ambaye ni Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai hapa nchini kuongoza timu. Timu hiyo ya upelelezi kutoka makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam tayari...
11 years ago
Habarileo30 Jan
Kamati Teule kuchunguza wizi wa nyaraka nyeti
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amekubali kuunda Kamati Teule kuchunguza wizi wa nyaraka nyeti katika jengo la Ofisi Kuu Kilimani. Inaundwa baada ya Serikali kukiri kuibwa kwa nyaraka hizo.
5 years ago
Michuzi
WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...
11 years ago
GPL
DCI MNGULU ASTAAFU
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
DCI amkwepa Kibanda
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Isaya Mungulu, amekwepa kuzungumzia sakata la kutekwa, kuteswa, kutobolewa jicho na kukatwa kidole kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom...
10 years ago
Mtanzania13 May
Diwani Athuman DCI mpya
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI),.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, kabla ya uteuzi huo, Diwani alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai.
“CP Diwani anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Robert Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria,” inasema taarifa hiyo.
Akizungumzia uteuzi huo, Diwani, alisema matarajio yake ni kuona...
11 years ago
Shabaab07 Aug
DCI probing man to have affiliation to Al
IPPmedia
IPPmedia
Director of Criminal Investigation (DCI) is now interrogating a man who is part of a group of recently arrested individuals for claiming affiliation to the Somali terrorist group, Al-Shabaab. State Attorneys Brenda Nicki and Adolph Mkini submitted a request for the ...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Mwandosya amuaga DCI Mwaitenda
Na Ibrahim Yassin, Kyela
ALIYEKUWA Waziri katika ofisi ya Rais, Kazi Maalum, Profesa Mark Mwandosya ameongoza mamia ya wananchi wa Wilaya ya Kyela, wakati wa ibada ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Athur Mwaitenda (79) aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi kwa ugonjwa wa kansa ya tezi dume.
Profesa Mwandosya aliitaka jamii nchini kuzisaidia familia za wafiwa pindi wazazi au walezi wao wanapofariki ili kujenga misingi ya upendo unaompendeza...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Kamishna, DCI kizimbani Zanzibar