Mwandosya amuaga DCI Mwaitenda
Na Ibrahim Yassin, Kyela
ALIYEKUWA Waziri katika ofisi ya Rais, Kazi Maalum, Profesa Mark Mwandosya ameongoza mamia ya wananchi wa Wilaya ya Kyela, wakati wa ibada ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Athur Mwaitenda (79) aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi kwa ugonjwa wa kansa ya tezi dume.
Profesa Mwandosya aliitaka jamii nchini kuzisaidia familia za wafiwa pindi wazazi au walezi wao wanapofariki ili kujenga misingi ya upendo unaompendeza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Mabadiliko lazima kwa Rungwe mpya — Mwaitenda
MWANDISHI WETU
“JIMBO la Rungwe Magharibi hakuna ‘wakuja wala wafyeka msitu’ kila mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ametoa mchango wa hali na mali kukijenga na kukitangaza chama hiki, hivyo mchango wa kila moja uheshimiwe.”
Ni kauli ya Ahobokile Mwaitenda (38), aliyetangaza kuwania ubunge katika jimbo hilo kwa tiketi ya Chadema katika mahojiano na Raia Tanzania.
Mwaitenda alitoa kauli hiyo kutokana na makala iliyowahi kuandikwa na gazeti dada ya hili...
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
JK amuaga Captain Komba
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
DCI amkwepa Kibanda
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Isaya Mungulu, amekwepa kuzungumzia sakata la kutekwa, kuteswa, kutobolewa jicho na kukatwa kidole kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DCI MNGULU ASTAAFU
11 years ago
Daily News06 Jun
Criminal offences declining, says DCI
Daily News
THE Director of Criminal Investigations (DCI), Issaya Mngulu, has said that the rate of criminal offences in the country continues to decline each year while transnational organized crimes are increasing. Speaking in Dar es Salaam during the launch of Turn ...
11 years ago
Shabaab07 Aug
DCI probing man to have affiliation to Al
IPPmedia
IPPmedia
Director of Criminal Investigation (DCI) is now interrogating a man who is part of a group of recently arrested individuals for claiming affiliation to the Somali terrorist group, Al-Shabaab. State Attorneys Brenda Nicki and Adolph Mkini submitted a request for the ...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Kamishna, DCI kizimbani Zanzibar
10 years ago
Mtanzania13 May
Diwani Athuman DCI mpya
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI),.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, kabla ya uteuzi huo, Diwani alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai.
“CP Diwani anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Robert Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria,” inasema taarifa hiyo.
Akizungumzia uteuzi huo, Diwani, alisema matarajio yake ni kuona...
10 years ago
MichuziWaziri Membe amuaga Balozi wa Qatar