TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s72-c/T2.jpg)
Kutoka Kushoto aliyeshika kipaza sauti ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mh. Brig. Gaguti, akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mh. Rashid Mwaimu, Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mh. Godfrey Muheruka, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Japhet Justine na mwenyekiti wa chama cha KDCU LTD Anselemi Alphonce.
Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lNCZjkmC4ms/XsbPoHDSKuI/AAAAAAALrM0/KR3JM7tF8UsZPoouJ2bEMjrycWWQhFUpwCLcBGAsYHQ/s72-c/42e0e685-2ba0-4bfe-9d58-1b66fbf8bb7d.jpg)
MSIMU MPYA WA KAHAWA, KDCU WAZINDUA MIZANI YA KIELEKTRONIKI.
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Wilaya za Karagwe na Kyerwa (KDCU), kimezindua Mizani 15 mipya ya Kielektroniki yenye thamani ya shilingi Milioni 46, na kugawiwa katika Vyama vya Msingi, wakati tukielekea msimu mpya wa zao la kahawa.
Mizani hiyo imezinduliwa na iliyozinduliwa na kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti katika tukio lililofanyika mapema Mei 21, katika Viwanja vya Chama hicho Wilayani Karagwe, huku tukio hilo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8Bsqquc5lX6vmmwCQ0pF-8yYO18VwNWL6--6huZ3zwcw2MmUtQLQxDVoeTSYvqkVF53-hz9tnQpSzFY5lFcW80/CHAI.jpg)
ATHARI ZA CHAI, KAHAWA KWA VIUNGO VYA MWILI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s72-c/22.jpg)
WAKULIMA WA TUMBAKU WAULALALMIKIA UBADHILIFU MKUBWA WA FEDHA ULIOFANYWA NA VYAMA VYA USHIRIKA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s1600/22.jpg)
Aidha,Wananchi wa Sikonge wameulalamikia ubadhilifu huo mkubwa wa fedha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Vikombe vya kahawa vinavyoliwa
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mrajis kikwazo kwa vyama vya ushirika
BAADHI ya wanaushirika nchini wanaichukulia nafasi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika kuwa ipo kuukwamisha ushirika. Pia wapo wanaodhani kwamba cheo hicho kilianzishwa baadaye kabisa, kama moja ya mikakati ya...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Kwa hili Mrajis wa vyama vya ushirika amepotoka
OKTOBA 22 mwaka huu, Ofisi ya Mrajis wa vyama vya ushirika nchini, iliitisha mkutano mkuu maalumu wa wanachama wa chama kikuu cha ushirika mkoani Kilimanjaro(KNCU)ambao pamoja na mambo mengine mkutano...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UdjfrBlJkIA/VhiO3FWneUI/AAAAAAAAVUo/9o3cd3ItxCM/s72-c/E86A2555%2B%25281280x853%2529.jpg)
LOWASA AAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-UdjfrBlJkIA/VhiO3FWneUI/AAAAAAAAVUo/9o3cd3ItxCM/s640/E86A2555%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O-XMLB0HGWM/VhiO_c0L1XI/AAAAAAAAVVE/AgOecnnxsFQ/s640/E86A2574%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Dec
Lindi Mwambao wafikisha dola bil 11/- kwa vyama vya ushirika
CHAMA kikuu cha muda cha Ushirika, Lindi Mwambao mjini hapa kimetoa Sh bilioni 11/- kwa vyama vya msingi vya ushirika inavyovisimamia katika msimu wa zao la korosho kwa mwaka 2014/2015.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10