Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa hili Mrajis wa vyama vya ushirika amepotoka

OKTOBA  22  mwaka huu, Ofisi ya Mrajis wa vyama vya ushirika nchini, iliitisha mkutano mkuu maalumu wa wanachama wa chama kikuu cha ushirika mkoani Kilimanjaro(KNCU)ambao pamoja na mambo mengine mkutano...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA


Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mrajis kikwazo kwa vyama vya ushirika

BAADHI ya wanaushirika nchini wanaichukulia nafasi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika kuwa ipo kuukwamisha ushirika. Pia wapo wanaodhani kwamba cheo hicho kilianzishwa baadaye kabisa, kama moja ya mikakati ya...

 

10 years ago

Habarileo

Lindi Mwambao wafikisha dola bil 11/- kwa vyama vya ushirika

CHAMA kikuu cha muda cha Ushirika, Lindi Mwambao mjini hapa kimetoa Sh bilioni 11/- kwa vyama vya msingi vya ushirika inavyovisimamia katika msimu wa zao la korosho kwa mwaka 2014/2015.

 

9 years ago

StarTV

 Madeni yavikabili vyama vya ushirika nchini kwa Kushindwa Kurejesha Mikopo

 

Vyama vya ushirika nchini vinakabiliwa na madeni kutoka katika benki za kibiashara kutokana na kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati hali ambayo imesababisha vyama hivyo kushindwa kujiendesha ipasavyo.

Kaimu Rais wa vyama vya ushirika na mtendaji mkuu wa tume ya maendeleo ya ushirika Tanzania Audasi Lutabazigwa amesema mjini Dododma kuwa wamefanya mazungumzo na benki za kibiashara ili  kivinusuru vyama hivyo.

Aidha mbali na suala hilo la madeni kaimu rais wa vyama vya ushirika anatoa...

 

5 years ago

Michuzi

TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.

Kutoka Kushoto aliyeshika kipaza sauti ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mh. Brig. Gaguti, akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mh. Rashid Mwaimu, Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mh. Godfrey Muheruka, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Japhet Justine na mwenyekiti wa chama cha KDCU LTD Anselemi Alphonce.

Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....

 

5 years ago

Michuzi

Tuwe na uelewa wa Sheria ya Ushirika –Naibu Mrajis

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika Usimamizi na Udhibiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Bw. Collins Nyakunga ametoa wito kwa Viongozi na Watendaji wa Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) kuwa na uelewa wa Sheria ya Vyama vya Ushirika Na.6 ya mwaka 2013, Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha Na.10 ya mwaka 2018, miongozo na Kanuni husika za Ushirika.

Mrajis ametoa wito huo akiongea na Viongozi pamoja na Watendaji wa Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) wakati wa mafunzo ya Sheria Na.10 ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

UFISADI VYAMA VYA USHIRIKA


JK: Hatutabeba mizigo ya wezi

Aagiza vigogo kufikishwa kortini harakaAonya fedha za umma sio za kuchezewa
Na Mwandishi Wetu, Tunduru
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali haitalipa madeni ambayo baadhi ya Vyama vya Ushirika nchini vinadaiwa na benki.
Amesema anataka kwanza wezi waliosababisha madeni hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Aidha, Rais Kikwete amesema ni jambo la kusikitisha kuwa baadhi ya maofisa wa serikali hujidhalilisha kwa kujifanya mawakala wa wanunuzi binafsi...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi vyama vya ushirika wafundwa

Viongozi nchini wametakiwa kutumia kwa ufanisi rasilimali fedha zinazopangwa katika miradi mbalimbali ya kupambana na madhara ya tabianchi ili iweze kutoa matokeo chanya yatakayookoa vizazi vijavyo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Vyama vya ushirika vipige vita ubakaji’

VYAMA vya ushirika nchini vimeombwa kushirikiana na Serikali katika mapambano yake dhidi ya matendo maovu yakiwemo ubakaji, utumiaji wa dawa za kulevya na maambukizi ya Ukimwi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani