Madeni yavikabili vyama vya ushirika nchini kwa Kushindwa Kurejesha Mikopo
Vyama vya ushirika nchini vinakabiliwa na madeni kutoka katika benki za kibiashara kutokana na kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati hali ambayo imesababisha vyama hivyo kushindwa kujiendesha ipasavyo.
Kaimu Rais wa vyama vya ushirika na mtendaji mkuu wa tume ya maendeleo ya ushirika Tanzania Audasi Lutabazigwa amesema mjini Dododma kuwa wamefanya mazungumzo na benki za kibiashara ili kivinusuru vyama hivyo.
Aidha mbali na suala hilo la madeni kaimu rais wa vyama vya ushirika anatoa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Ufisadi wa kutisha kwenye vyama vya ushirika nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mrajis kikwazo kwa vyama vya ushirika
BAADHI ya wanaushirika nchini wanaichukulia nafasi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika kuwa ipo kuukwamisha ushirika. Pia wapo wanaodhani kwamba cheo hicho kilianzishwa baadaye kabisa, kama moja ya mikakati ya...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Kwa hili Mrajis wa vyama vya ushirika amepotoka
OKTOBA 22 mwaka huu, Ofisi ya Mrajis wa vyama vya ushirika nchini, iliitisha mkutano mkuu maalumu wa wanachama wa chama kikuu cha ushirika mkoani Kilimanjaro(KNCU)ambao pamoja na mambo mengine mkutano...
10 years ago
Habarileo20 Dec
Lindi Mwambao wafikisha dola bil 11/- kwa vyama vya ushirika
CHAMA kikuu cha muda cha Ushirika, Lindi Mwambao mjini hapa kimetoa Sh bilioni 11/- kwa vyama vya msingi vya ushirika inavyovisimamia katika msimu wa zao la korosho kwa mwaka 2014/2015.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s72-c/T2.jpg)
TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s1600/T2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IRKB-fosws8/Xt_30S47bGI/AAAAAAALtQM/CMSotMtAZTUIRI2kmC8WZcJEC5WtJ51DQCLcBGAsYHQ/s1600/T1.jpg)
Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-L3m8i9Xkz7E/U8_QsqV5n7I/AAAAAAAABa4/yJjia4RR-tQ/s72-c/jakaya_kikwete.jpg)
UFISADI VYAMA VYA USHIRIKA
JK: Hatutabeba mizigo ya wezi
Aagiza vigogo kufikishwa kortini harakaAonya fedha za umma sio za kuchezewa
Na Mwandishi Wetu, Tunduru
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali haitalipa madeni ambayo baadhi ya Vyama vya Ushirika nchini vinadaiwa na benki.
Amesema anataka kwanza wezi waliosababisha madeni hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
![](http://4.bp.blogspot.com/-L3m8i9Xkz7E/U8_QsqV5n7I/AAAAAAAABa4/yJjia4RR-tQ/s1600/jakaya_kikwete.jpg)
Aidha, Rais Kikwete amesema ni jambo la kusikitisha kuwa baadhi ya maofisa wa serikali hujidhalilisha kwa kujifanya mawakala wa wanunuzi binafsi...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Viongozi vyama vya ushirika wafundwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10