Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi
Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI
10 years ago
Bongo Movies12 Aug
Florah Mvungi Amkataza H:Baba Kucheza Mpira
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amemkataza mume wake,msanii wa Bongo Fleva,H: Baba kucheza mpira.
H: Baba amesajiliwa na klabu ya Toto African ya jijini Mwanza hali inayomfanya kuwa mbali na familia yake ambayo ipo jijini Dar,na ndiyo sababu kubwa iliyotajwa kukatazwa na mkewe kuichezea timu hiyo.
Kwa mujibu wa msanii huyo alisema kuwa mkewe alikaa kikao na ndugu zake waliopo jijini Mwanza kuzungumzia suala hilo kama atakubali abaki kucheza mpira atacheza lakini akibaki na...
10 years ago
Vijimambo15 Dec
JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...
10 years ago
CloudsFM10 Feb
BARCELONA KUCHEZA NA TANZANIA MACHI 28 TAIFA
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Idris adai Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia
9 years ago
Habarileo07 Jan
Simba kucheza na Burkinafaso FA
TIMU ya Simba itacheza na Burkinafaso na Yanga itacheza na Friends Rangers kwenye Michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), mzunguko wa tatu unaotarajiwa kuendelea Januari 12 na Januari 23-27 kwa timu 32 kuchuana kuwania kufuzu kwa hatua ya 16 bora.
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Stars ilistahili kucheza fainali
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Al Ahly kucheza Kombe la Shirikisho
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
MKALI: Nataka kucheza kimataifa
WAHENGA hunena kwamba mbuyu ulianza kama mchicha. Hiki ndicho ninachotaka kukieleza katika makala hii kwa mwanasoka chipukizi mwenye matarajio ya kufika mbali, George Mkali. Akiwa ni mwanasoka chipukizi na anayeonyesha...