Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKALI: Nataka kucheza kimataifa

WAHENGA hunena kwamba mbuyu ulianza kama mchicha. Hiki ndicho ninachotaka kukieleza katika makala hii kwa mwanasoka chipukizi mwenye matarajio ya kufika mbali, George Mkali. Akiwa ni mwanasoka chipukizi na anayeonyesha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa

Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.

Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...

 

11 years ago

GPL

MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI‏

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.…

 

9 years ago

Mwananchi

Nataka kulewa

Hii ni mara yangu ya kwanza kuingia baa na ninajikuta nikitumia zaidi ya sekunde sitini nikiangazaangaza ndani ya baa hiyo bila hata ya  kujua ni  sehemu gani nianzie. Baada ya kuhakikisha kuwa macho yangu yametazama kila kona  ya baa hiyo niliamua kukifuata kiti  kimoja kilichokuwa  wazi karibu na kaunta. Nilifika hapo na kukaa  huku pembezoni  mwangu kukiwa na mwanamume mwingine ambaye kidogo  alinishangaza kwani hakuwa akinywa kilevi na badala yake alikuwa akinywa...

 

9 years ago

Mwananchi

Nataka kulewa 2

Bila ya kupoteza muda nikaanza kumsimulia Bwana Edvin kisa kilichonikuta katika siku nzima ya leo hadi nikajikuta nikiishia baa. Naamini nimeshakusimulia na itakuwa ni upotezaji wa muda ikiwa nitaanza tena kukusimulia upya. Nilitumia kama dakika tano na tayari nimekwisha msimulia  Bwana Edvin kisa chote na nikaona uso wake ukiingiwa na hali fulani ya huruma juu yangu. “Pole sana Bwana Roma kwa yaliyokukuta”. Aliniambia Edvin. Yameshatokea na hata nikipewa pole na dunia nzima...

 

9 years ago

Mtanzania

Lulu: Nataka wazee kimaendeleo

Lulu picha mpya kubwaNA SHARIFA MMASI

MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.

Lulu alisema kipindi alipokuwa katika uhusiano na wanaume wakubwa, alijifunza mambo mengi ambayo yanaendelea kumuweka daraja la juu katika mafanikio ya maisha yake ya sasa.

“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta: Nataka nidhamu bungeni

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.

 

11 years ago

GPL

WASTARA: NATAKA KUOLEWA NA BILIONEA

Stori:  Na Imelda Mtema
IKIWA ni takribani mwaka mmoja tangu alipoondokewa na mumewe, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema sasa yupo tayari kuolewa lakini sharti la kwanza la muoaji lazima awe mtu mwenye fedha zake. Wastara Juma. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Wastara alisema, amekuwa mpweke kwa muda mrefu na sasa ni wakati...

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda -Nataka serikali mbili

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema msimamo wake ni kuwapo kwa Serikali mbili, huku akisisitiza kuwa ilipaswa wajumbe wa bunge hilo wapewe elimu ya ufahamu ya kazi yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani