Lulu: Nataka wazee kimaendeleo
NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.
Lulu alisema kipindi alipokuwa katika uhusiano na wanaume wakubwa, alijifunza mambo mengi ambayo yanaendelea kumuweka daraja la juu katika mafanikio ya maisha yake ya sasa.
“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mjxPgo1g-qId0PiWPUHt5US-fySEGAPPeo7NJF-61zGBTrc1cfUl7AUcXwlU8zDZPYPyomcBo5xQlQNQizUXQW3/antilulu.jpg)
ANTI LULU: NATAKA KUZAA NA DIAMOND
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BwV8e4G7bJ4/VKVbdR1jhkI/AAAAAAAG63A/MCA9ice60uw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
TUWAKUMBUKE WAZEE WASIOJIWEZA -LULU MTEMVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-BwV8e4G7bJ4/VKVbdR1jhkI/AAAAAAAG63A/MCA9ice60uw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hiNPwrkgQ-k/VKVbdMwcb8I/AAAAAAAG628/m7zhrXlTG3M/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Nitaipaisha Mtama kimaendeleo — Mchinjita
BAADA ya kipenga cha uchaguzi mkuu kupulizwa, wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa wamejitokeza kuwania ubunge katika maeneo mbalimbali nchini. Kijana Isihaka Mchinjita (32), ni miongoni mwa waliotangaza nia kuwania ubunge Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF). Mwandishi Wetu AHMAD MMOW, amefanya mahojiano naye kuhusu nia yake. Endelea……
Raia Tanzania: Jimbo la Mtama lenye wakazi 141,000 na wapiga kura takriban 80,000 sasa liko wazi baada ya aliyekuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*ek4ett*4o-zQHIvBXGUFIMdYRk8ZwMDF1i*Fo0Q2sOY-fE-9Bvf-81A64sP0LGN3RiDOubhliKBgEB*SA7Azc8N/BellHenry.jpg?width=650)
WAJUE WAVUMBUZI WALIOIBADILISHA DUNIA KIMAENDELEO
10 years ago
Dewji Blog15 Feb
Tanzania yaipongeza China kwa misaada ya kimaendeleo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatafa Bernard Membe akitoa hotuba kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika sherehe ya mwaka mpya wa Kichina jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Na Magreth Kinabo na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatafa Bernard Membe, ameipongeza Serikali Jamhuri ya China kwa msaada wake wa kuhakikisha Tanzania imefungua idara ya maalum...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pxjpKnoFgQ0/XmUx-gCNWzI/AAAAAAALh_U/6mRg7XXlK6c2GNy2A5P-eL2B01gLO1F0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Wanawake Rukwa watajiwa wanaowarudisha nyuma kimaendeleo
Amesema kuwa katika halmashauri nne za mkoa huo ni Manispaa ya Sumbawanga pekee ndio inayoongoza kwa utoaji wa mikopo hiyo ikifuatiwa na halmashauri ya Wilaya Kalambo huku...
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Pambano la Simba na Yanga lasimamisha shughuli za kimaendeleo Singida
Pambano la watani wa jadi kati ya Yanga na Simba zote za jijini Dar-es-saalam lasimamisha shughuli mbalimbali mjini Singida kwa wakazi wake kujazana kwenye kumbi zilizokuwa zikionyesha mchezo huo ‘Live’ kupitia TV. Juzi jioni kosta mbili zilizokuwa zimejaza hasa wapenzi wa Simba wakiongozwa na mpenzi mkubwa wa timu hiyo Singida mkoani hapa, Mhandisi Max Kaaya kwenda jijini Dar-es-salaam kushuhudia mpambano huo ambao katika siku za hivi karibuni umekuwa gumzo kubwa kila kona ya nchi.(Picha...