Wanawake Rukwa watajiwa wanaowarudisha nyuma kimaendeleo
![](https://1.bp.blogspot.com/-pxjpKnoFgQ0/XmUx-gCNWzI/AAAAAAALh_U/6mRg7XXlK6c2GNy2A5P-eL2B01gLO1F0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewatambulisha rasmi wakurugenzi wa halmashauri mbili za mkoa huo wanaochangia kukwamisha maendeleo ya wanawake katika halmashauri zao huku akiwataka wakurugenzi wawili wengine kuhakikisha wanamaliza asilimia nne ya mikopo kwa wanawake kabla ya kuisha kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Amesema kuwa katika halmashauri nne za mkoa huo ni Manispaa ya Sumbawanga pekee ndio inayoongoza kwa utoaji wa mikopo hiyo ikifuatiwa na halmashauri ya Wilaya Kalambo huku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s72-c/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
WANAWAKE NA WATOTO WA KIKE BADO WAPO NYUMA KATIKA MATUMIZI YA TEHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s640/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New YorkWanawake na watoto wa kike wanaelezwa kama kundi ambalo bado halijanufaika ipasavyo na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanawake Rukwa watumia kondomu kama bangili
BAADHI ya wanawake mkoani Rukwa wamebadili matumizi ya kondomu za kike kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s72-c/IMG_4552.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONGOZA SIKU YA SHERIA MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s1600/IMG_4552.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s72-c/IMG_4552.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA SIKU YA SHERIA NCHINI MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s640/IMG_4552.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5DjVwPp8M5A/VN9B4s-dzRI/AAAAAAAAGbU/UgepUpxliFI/s72-c/P2148627.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AKABIDHI KATIBA PENDEKEZWA KWA WILAYA ZOTE MKOANI RUKWA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5DjVwPp8M5A/VN9B4s-dzRI/AAAAAAAAGbU/UgepUpxliFI/s1600/P2148627.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsx5v0QuooU/VN9BuBHNpeI/AAAAAAAAGak/CTL7oyA_rts/s1600/P2148600.jpg)
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Lulu: Nataka wazee kimaendeleo
NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.
Lulu alisema kipindi alipokuwa katika uhusiano na wanaume wakubwa, alijifunza mambo mengi ambayo yanaendelea kumuweka daraja la juu katika mafanikio ya maisha yake ya sasa.
“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Nitaipaisha Mtama kimaendeleo — Mchinjita
BAADA ya kipenga cha uchaguzi mkuu kupulizwa, wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa wamejitokeza kuwania ubunge katika maeneo mbalimbali nchini. Kijana Isihaka Mchinjita (32), ni miongoni mwa waliotangaza nia kuwania ubunge Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF). Mwandishi Wetu AHMAD MMOW, amefanya mahojiano naye kuhusu nia yake. Endelea……
Raia Tanzania: Jimbo la Mtama lenye wakazi 141,000 na wapiga kura takriban 80,000 sasa liko wazi baada ya aliyekuwa...