MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AKABIDHI KATIBA PENDEKEZWA KWA WILAYA ZOTE MKOANI RUKWA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5DjVwPp8M5A/VN9B4s-dzRI/AAAAAAAAGbU/UgepUpxliFI/s72-c/P2148627.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya kulia akimkabidhi Katibu Tawala Wilaya ya Kalambo Bi. Mapinduzi Severian Katiba pendekezwa leo tarehe 14 Februari 2015 kwa niaba ya wananchi wa Wilaya hiyo ambao watapata fursa ya kuiona na kuisoma kwa ajili ya kuipigia kura ya maoni mwezi Aprili mwaka huu.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akimuonyesha muimbaji wa kikundi cha ngoma za asili ya Kanondo Katiba pendekezwa katika hafla fupi ya kukabidhi Katiba hiyo iliyofanyika katika Wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s72-c/IMG_4552.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA SIKU YA SHERIA NCHINI MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s640/IMG_4552.jpg)
10 years ago
MichuziMENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JAy17KGuIcw/U38jRCDg7xI/AAAAAAAAFe0/tK5KCLdX9f0/s72-c/IMG_1626.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA ALA KIAPO RASMI CHA UHANDISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-JAy17KGuIcw/U38jRCDg7xI/AAAAAAAAFe0/tK5KCLdX9f0/s1600/IMG_1626.jpg)
Kiapo hicho kimeafanyika leo katika ukumbi wa "video comference" uliopo katika jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo leo tarehe...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s72-c/P5239263.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA KIKAO CHA DHARURA CHA KAMATI YA USHAURI YA MKOA RCC NA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA KUANZISHA MAJIMBO MAWILI MAPYA YA UCHAGUZI KATIKA WILAYA ZA SUMBAWANGA NA KALAMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s640/P5239263.jpg)
Majimbo hayo yatazaliwa katika majimbo yaliyopo hivi sasa ambapo kwa jimbo la Kwela ambalo lipo katika Wilaya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s72-c/IMG_4552.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONGOZA SIKU YA SHERIA MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s1600/IMG_4552.jpg)