Pambano la Simba na Yanga lasimamisha shughuli za kimaendeleo Singida
Pambano la watani wa jadi kati ya Yanga na Simba zote za jijini Dar-es-saalam lasimamisha shughuli mbalimbali mjini Singida kwa wakazi wake kujazana kwenye kumbi zilizokuwa zikionyesha mchezo huo ‘Live’ kupitia TV. Juzi jioni kosta mbili zilizokuwa zimejaza hasa wapenzi wa Simba wakiongozwa na mpenzi mkubwa wa timu hiyo Singida mkoani hapa, Mhandisi Max Kaaya kwenda jijini Dar-es-salaam kushuhudia mpambano huo ambao katika siku za hivi karibuni umekuwa gumzo kubwa kila kona ya nchi.(Picha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cnnvHX851kc/XoiP1RJTRDI/AAAAAAALl_A/wrYII58n-YcrhkgPss0nNHpNT0l2-qXhgCLcBGAsYHQ/s72-c/00f1c515-fcc3-41f9-bdba-9918116d2b1d.jpg)
HALI YA MJI WA BUKOBA, TAHADHARI YA CORONA, NA SHUGHULI ZA KIMAENDELEO KATIKA PICHA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cnnvHX851kc/XoiP1RJTRDI/AAAAAAALl_A/wrYII58n-YcrhkgPss0nNHpNT0l2-qXhgCLcBGAsYHQ/s640/00f1c515-fcc3-41f9-bdba-9918116d2b1d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IvcddnAU4CM/XoiP4G8JyEI/AAAAAAALl_c/T0QhOjKbYoMLgIOFbCXoVBLl9LTErhXMQCLcBGAsYHQ/s640/6dbbc6a6-fc4e-47ea-9d64-e392a04be6f0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HcAvIL036gA/XoiP17VZbwI/AAAAAAALl_I/SlXe41ntS1UVMvCWITSi0swxYoa70DTTgCLcBGAsYHQ/s640/0a4dab04-e33e-405d-8701-63f4309e4f69.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rpWtyZ6j6Jw/XoiP4iFBenI/AAAAAAALl_g/0PADBjiMSdEtJaDPRDHw_n7rvwXLwOv9QCLcBGAsYHQ/s640/7cd44d40-045a-4c51-9f83-45f17df799db.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nyr9UIlvf8U/XoiP3Oc0j0I/AAAAAAALl_Q/H5v22AaObUcy-qQau2tgwwHZ4qG7tYrtQCLcBGAsYHQ/s640/22d65047-6bf1-4039-a74b-dba0f42fe62f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SJfuA_EKmes/XoiP1jgY-kI/AAAAAAALl_E/Msr3A2DEzqsQGVX5x-BPS1K-gr7RmpqmACLcBGAsYHQ/s640/015727fe-6e20-4459-b43f-0a03dc04c730.jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Pambano la watani wa jadi,Simba kidedea
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sgqckxh3eBQ/VBRten4g07I/AAAAAAABIts/F2bPvNlEilE/s72-c/IMG-20140913-WA0032-2.jpg)
NSSF YADHAMINI PAMBANO LA SIMBA NA NDANDA FC MKOANI MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sgqckxh3eBQ/VBRten4g07I/AAAAAAABIts/F2bPvNlEilE/s1600/IMG-20140913-WA0032-2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XBLcGL8QXUk/VBRxjDL_htI/AAAAAAABIuQ/7cfxoSODHwk/s1600/IMG-20140913-WA0014-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nY3zScmEEkY/VBSVhvCwAWI/AAAAAAABIus/bNF4CbtixRE/s1600/IMG-20140913-WA0029.jpg)
Kwa habari kamili na...
11 years ago
GPLPAMBANO LA YANGA, MBEYA CITY LAINGIZA MIL 175
10 years ago
StarTV17 Jan
Shughuli zasimama kwa muda Stendi ya mabasi Singida.
Na Emmanuel Michael,
Singida.
Shughuli mbalimbali katika Stendi kuu ya mabasi Mjini Singida, jana zilisimama kwa zaidi ya saa tano, baada ya wapigadebe na mawakala kufunga kwa lundo la mawe lango la kuingilia katika kituo hicho.
Hatua hiyo ilichukuliwa kama moja ya njia za kuushinikiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, kukifanyia matengenezo kipande cha barabara ya kuingia katika kituo hicho chenye mashimo makubwa na kuweka lami pamoja na ukarabati wa miundombinu mingine...
9 years ago
Vijimambo13 Sep
PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-0/p280x280/12006246_1050293754989289_1837075724729834108_n.jpg?oh=695a337baac06b37f64c7c95e78eceee&oe=569FD355)
Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Serikali kuboresha zaidi mazingira ya kufanyia shughuli za wajasiriamali mkoani Singida
Meneja mradi wa kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo,Florentina Sallah, akitoa nasaha zake kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuriwa na wafanyabiashara wadogo 150 wa mkoa wa Singida.Wa kwanza kulia ni Mkuu wa mkoa wa Singida,D k.Parseko Kone na anayefuatia ni,Dk.Willhelm Ngasamiaku,mhadhiri wa uchumi idara ya uchumi chuo kikuu cha Dar-es-salaam.
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...