HALI YA MJI WA BUKOBA, TAHADHARI YA CORONA, NA SHUGHULI ZA KIMAENDELEO KATIKA PICHA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cnnvHX851kc/XoiP1RJTRDI/AAAAAAALl_A/wrYII58n-YcrhkgPss0nNHpNT0l2-qXhgCLcBGAsYHQ/s72-c/00f1c515-fcc3-41f9-bdba-9918116d2b1d.jpg)
Pichani ni Muonekano wa Kisiwa cha Musira na Bandari ya Bukoba kama palivyonaswa na Kamera yetu
Pichani ni baadhi ya abiria na wananchi mbalimbali wakinawa Mikono eneo la Stendi ya Bukoba wakati wanapoingia na kutoka katika kituo cha Mabasi Bukoba, lengo ni kuendelea kuchukua Tahadhari ya Corona.
Pichani ni Mtumishi wa Idara ya Afya akiendelea na majukumu yake ya kuwapima wasafiri wanaoingia Mkoani Kagera, kutokea maeneo mbalimbali pindi wanapoteremka katika Mabasi.
Pichani ni katikati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Brussels bado katika hali ya tahadhari
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Pambano la Simba na Yanga lasimamisha shughuli za kimaendeleo Singida
Pambano la watani wa jadi kati ya Yanga na Simba zote za jijini Dar-es-saalam lasimamisha shughuli mbalimbali mjini Singida kwa wakazi wake kujazana kwenye kumbi zilizokuwa zikionyesha mchezo huo ‘Live’ kupitia TV. Juzi jioni kosta mbili zilizokuwa zimejaza hasa wapenzi wa Simba wakiongozwa na mpenzi mkubwa wa timu hiyo Singida mkoani hapa, Mhandisi Max Kaaya kwenda jijini Dar-es-salaam kushuhudia mpambano huo ambao katika siku za hivi karibuni umekuwa gumzo kubwa kila kona ya nchi.(Picha...
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS AITAKA TMA KUTOA TAHADHARI ZA HALI YA HEWA KATIKA MAENEO MADOGOMADOGO NCHINI
11 years ago
Dewji Blog13 May
Semina ya uhabarisho wa shughuli za mamlaka ya usimamizi wa sekta ya hifadhi ya jamii katika picha.
Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,akifungua semina ya uhabarisho juu ya shughuli za mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA).wa kwanza kushoto ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassani. na kulia ni mjumbe wa menejimenti na mkuu wa ununuzi wa SSRA,Emmanuel Urembo.
Mjumbe wa menejimenti na ununuzi wa mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA),Emmanuel Urembo akitoa mada yake ya uhabarisho juu wa SSRA kwa wadau wa mkoa wa Singida...
11 years ago
Michuzi16 Apr
KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mu4i9qV6CtseExo4S14E9FBdDx5E-RTJ9mPA0B981EEOuuU3JgCFA-h2xtNWQXXAm7Z2tK6HCsSXZZms6zvveMMhOD-H1JmgY6494wyFqSzldt5DiztBYKt9Vy1QzDEJuxUeGhVmQBWcDJ1EcyIq2cCGxHvCgovmtQLE0YaIQbmiX5rplWqp-0tP5F7QuCvMXAkQbSMOrqdavTIZUqzuWgvfHl-S9pPDP0tSQf4Z4ItaKN4uW8ed5DcZZvblwhZhvqUfH6ko2G6FTQftFCef2FTd5oD6sBOcpF91VY02BGsV3xoijj4zDXGRKiGi3IWlMUs_DKktLZtweVOaYSN2RqDMsb7BEP0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-zcKVjNsVVhQ%2FU01Q1lx2slI%2FAAAAAAAAVkM%2FuxQON5LjPVk%2Fs1600%2Fkapotive%2B2000.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ebvuv6nDuvY/XoJJeW3NpoI/AAAAAAALlow/qCB5_S2xo18fsEy5csyajIBnygW8fij7gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4dhtICkvmFc/XnXc8IyFFSI/AAAAAAALkoo/xDAEBXMHpNYAhDEa0I77O428owBtblf3QCLcBGAsYHQ/s72-c/00d4c26c-9efd-48bc-834a-6d54675f76db.jpg)
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM YAJA NA MAJIBU YA WATU KUENDELEA NA SHUGHULI ZA UZALISHAJI LICHA YA KUWEPO KWA VIRUSI VYA CORONA KATIKA BARA LA AFRIKA
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Liquid Telecom Nic Rudnick amesema kwamba katika kipindi hiki ambacho Dunia inakabiliwa na virusi vya COVID-19 ( Coronavirus) na kusabababisha shughuli nyingi za kiuchumi kusimama katika nchi mbalimbali wao kipaumbele cha cha kampuni hiyo kwa sasa ni kusaidia na kulinda afya, ustawi na usalama wa wafanyikazi, wateja, washirika na umma mkakati wa kudumisha mwendelezo wa biashara katika viwango vyote.
Amesisitiza katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WW0ectXarCQ/VXvVnJ96OnI/AAAAAAAAA8U/85d8rq0zNkw/s72-c/20150603_180056.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA MKUTANO WA BARAZA KUU LA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WW0ectXarCQ/VXvVnJ96OnI/AAAAAAAAA8U/85d8rq0zNkw/s640/20150603_180056.jpg)
9 years ago
StarTV22 Dec
Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.
Manispaa ya Bukoba imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa kipindi cha takribani mwezi mmoja .
Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...