Brussels bado katika hali ya tahadhari
Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Charles Michel amesema hali ya tahadhari itaendelea kubaki kwa kiwango cha juu katika mji wa Brussels.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cnnvHX851kc/XoiP1RJTRDI/AAAAAAALl_A/wrYII58n-YcrhkgPss0nNHpNT0l2-qXhgCLcBGAsYHQ/s72-c/00f1c515-fcc3-41f9-bdba-9918116d2b1d.jpg)
HALI YA MJI WA BUKOBA, TAHADHARI YA CORONA, NA SHUGHULI ZA KIMAENDELEO KATIKA PICHA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cnnvHX851kc/XoiP1RJTRDI/AAAAAAALl_A/wrYII58n-YcrhkgPss0nNHpNT0l2-qXhgCLcBGAsYHQ/s640/00f1c515-fcc3-41f9-bdba-9918116d2b1d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IvcddnAU4CM/XoiP4G8JyEI/AAAAAAALl_c/T0QhOjKbYoMLgIOFbCXoVBLl9LTErhXMQCLcBGAsYHQ/s640/6dbbc6a6-fc4e-47ea-9d64-e392a04be6f0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HcAvIL036gA/XoiP17VZbwI/AAAAAAALl_I/SlXe41ntS1UVMvCWITSi0swxYoa70DTTgCLcBGAsYHQ/s640/0a4dab04-e33e-405d-8701-63f4309e4f69.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rpWtyZ6j6Jw/XoiP4iFBenI/AAAAAAALl_g/0PADBjiMSdEtJaDPRDHw_n7rvwXLwOv9QCLcBGAsYHQ/s640/7cd44d40-045a-4c51-9f83-45f17df799db.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nyr9UIlvf8U/XoiP3Oc0j0I/AAAAAAALl_Q/H5v22AaObUcy-qQau2tgwwHZ4qG7tYrtQCLcBGAsYHQ/s640/22d65047-6bf1-4039-a74b-dba0f42fe62f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SJfuA_EKmes/XoiP1jgY-kI/AAAAAAALl_E/Msr3A2DEzqsQGVX5x-BPS1K-gr7RmpqmACLcBGAsYHQ/s640/015727fe-6e20-4459-b43f-0a03dc04c730.jpg)
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS AITAKA TMA KUTOA TAHADHARI ZA HALI YA HEWA KATIKA MAENEO MADOGOMADOGO NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dc4Mwrw6QT4/VBgiuf69GBI/AAAAAAAGj8M/-FVeHCAjxng/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AAGIZA MAMLAKA ZA HALI YA HEWA KUSINI MWA AFRIKA KUSHIRIKIANA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA KANDA YA SADC
Mamlaka ya Hali ya Hewa kwa niaba ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa mwenyeji wa mkutano wa kila mwaka wa umoja wa taasis za hali ya hewa katika nchi za Kusini mwa Afrika (MASA).
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...
11 years ago
BBCSwahili14 Aug
UN yatangaza hali ya tahadhari Iraq
UN imetangaza hali ya tahadhari ya kiwango cha juu zaidi cha dharura kwa watu milioni moja unusu nchini Iraq.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Hali ya Hewa yatoa tahadhari
MKURUGENZI wa Huduma za Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Hamza Kabelwa, ametoa tahadhari ya kuwepo mvua kubwa katika kipindi kinachoishia mwezi huu na Februari. Akizungumza...
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Ebola:'WHO latangaza hali ya tahadhari'
Shirika la afya duniani WHO limetangaza kuenea kwa ugonjwa wa Ebola magharibi mwa afrika kama janga la kimataifa linalohitaji kushughulikiwa kwa dharura
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Sierra Leone yatangaza hali ya tahadhari
Rais wa Sierra Leone ametangaza hali ya tahadhari ilikupambana na ugonjwa wa Ebola.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-piIsDNxHqBo/XoiUukXcbXI/AAAAAAALmAc/kSYvwhG0TqIRdommiHl_XqNNwJTQ9suGwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-2-768x512.jpg)
ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA CORONA BADO HAITOSHELEZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-piIsDNxHqBo/XoiUukXcbXI/AAAAAAALmAc/kSYvwhG0TqIRdommiHl_XqNNwJTQ9suGwCLcBGAsYHQ/s640/3-2-768x512.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo imeagizwa elimu Zaidi itolewe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1-7.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya cha kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo ameagiza elimu Zaidi itolewe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2..jpg)
Wadau wa Afya wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Songwe (hayupo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb8YAVOVgpXQ6T36cLyE9elRt5CP1lqBEZUD-dAmKr6wliL9gX2MF5CGwm70Ik9E1JauGjfDiBcuu8dPcl0a0MKQ/RaisErnestBaiKoroma2.jpg?width=650)
RAIS WA SIERRA LEONE AMETANGAZA HALI YA TAHADHARI
Rais Ernest Bai Koroma. Rais wa Sierra Leone ametangaza hali ya tahadhari kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola. Rais Ernest Bai Koroma ametoa agizo maeneo yaliyokuwa yakwanza kuripoti ugonjwa huo yadhibitiwe ipasavyo na kutengwa. Rais Koroma aliagiza watu wasiruhusiwe kuingia au kutoka kwenye maeneo hayo chimbuko la mlipuko wa ugonjwa wa Ebola. Maafisa wa Usalama ndio waliopewa jukumu la kutekeleza maagizo hayo kwa ushirikiano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania