TUWAKUMBUKE WAZEE WASIOJIWEZA -LULU MTEMVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-BwV8e4G7bJ4/VKVbdR1jhkI/AAAAAAAG63A/MCA9ice60uw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mjumbe wa Baraza la Vijana (UVCCM) wilaya ya Morogoro vijijini, Lulu Mtemvu, katika picha ya pamoja , Desemba 31, 2014 na baadhi ya wazee wasiojiweza wa Kambi ya Funga Funga iliyopo Manispaa ya Morogoro.
Mjumbe wa Baraza la Vijana (UVCCM) wilaya ya Morogoro vijijini, Lulu Mtemvu, akimkabidhi zawadi ya vyakula na mbuzi kwa ajili ya sikukuu ya mwaka mpya 2015 kwa Wazee wasiojiweza wa Kambi ya Funga Funga iliyopo Manispaa ya Morogoro, mnamo Desemba 31, 2014, zawadi hiyo ilipokelewa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Hamadombe yawakumbuka wazee wasiojiweza
KAMPUNI ya Hamadombe Distributor ya jijini Dar es Salaam, imetoa msaada kwa watoto yatima katika kituo cha Upendo Life Orphanage cha Kigamboni, na kisha kula chakula cha pamoja na wazee...
11 years ago
Habarileo27 Jul
JK awapa Idd el Fitr wazee wasiojiweza
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msaada wa chakula kwa kambi ya wazee wasiojiweza ya Bukumbi, wilayani Misungwi mkoani hapa kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitr.
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
SIKU YAKE YA KUZALIWA: Jackline Wolper Awatembea Wazee Wasiojiweza
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Muigizaji Jackline Wolper, akiongozana na baadhi ya waigizaji wenzie wakiwemo Kajala na Nanaiki, Wamewatembelea wazee wasio jiweza na hiki ndicho alicho andika kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM
“Jamani wapenzi wangu flwz wangu wote sku yangu yakuzaliwa ilikua poa saana jmn am happy nimetembelea ktuo hiki cha wazee wasojiweza kinachosimamiwa na masista ...kiukwel namshukuru Mungu kwa moyo waupendo namapenzi kuwaza nakukumbuka kma kuna watu kma hawa ambao pia...
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo09 Mar
WADAU WA MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA WAJITOA KUWAFARIJI WAZEE WASIOJIWEZA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-nTEYsfkJGko%2FVPyPhvhdBXI%2FAAAAAAAAU5I%2FUqgldlANvAQ%2Fs1600%2FIMG-20150308-WA0039.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LliHLlOZCXk/VnwD9P5RyVI/AAAAAAAIOUU/jjK_N9IlRTY/s72-c/p4.jpg)
Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation (TPF) yawaandalia Wazee wasiojiweza sherehe ya Krismas na Mwaka Mpya Courtyard protea hotel jijini Dar es salaam
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Lulu: Nataka wazee kimaendeleo
NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.
Lulu alisema kipindi alipokuwa katika uhusiano na wanaume wakubwa, alijifunza mambo mengi ambayo yanaendelea kumuweka daraja la juu katika mafanikio ya maisha yake ya sasa.
“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tuwakumbuke walemavu waliopigana vita ya Kagera
IKIWA mwaka huu inatimia miaka 35 tangu kumalizika vita ya Kagera, baadhi ya wanajeshi waliopigana vita hiyo na kupata ulemavu wanadai serikali imewatelekeza. Vita hiyo iliyopiganwa mwaka 1978 hadi 1979...