Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WADAU WA MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA WAJITOA KUWAFARIJI WAZEE WASIOJIWEZA


Mkurungezi mtendaji wa Mwanaharakati Mzalendo Media Krantz Mwantepele akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika katika kituo cha wazee wasiojiweza Msimbazi kinachosimamiwa na jimbo kuu hapa dar es salaam kanisa la katoliki na kuhudumia wazee wapatao kumi na moja waliokuwa wanaishi katika mazingira magumu.Timu nzima ya Mwanaharakati Mzalendo Media ilikuja hapa kuwaona wazee hawa na kupata nafasi ya kuwafariji na kutoa baadhi ya misaada ya chakula na nguo za kuwasitiri leo siku ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao

1069410_488216681262565_60269170_n

 

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu  mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.

Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook,  wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hamadombe yawakumbuka wazee wasiojiweza

KAMPUNI ya Hamadombe Distributor ya jijini Dar es Salaam, imetoa msaada kwa watoto yatima katika kituo cha Upendo Life Orphanage cha Kigamboni, na kisha kula chakula cha pamoja na wazee...

 

11 years ago

Habarileo

JK awapa Idd el Fitr wazee wasiojiweza

RAIS Jakaya Kikwete ametoa msaada wa chakula kwa kambi ya wazee wasiojiweza ya Bukumbi, wilayani Misungwi mkoani hapa kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitr.

 

10 years ago

Michuzi

TUWAKUMBUKE WAZEE WASIOJIWEZA -LULU MTEMVU

Mjumbe wa Baraza la Vijana (UVCCM) wilaya ya Morogoro vijijini, Lulu Mtemvu, katika picha ya pamoja , Desemba 31, 2014 na baadhi ya wazee wasiojiweza wa Kambi ya Funga Funga iliyopo Manispaa ya Morogoro. Mjumbe wa Baraza la Vijana (UVCCM) wilaya ya Morogoro vijijini, Lulu Mtemvu, akimkabidhi zawadi ya vyakula na mbuzi kwa ajili ya sikukuu ya mwaka mpya 2015 kwa Wazee wasiojiweza wa Kambi ya Funga Funga iliyopo Manispaa ya Morogoro, mnamo Desemba 31, 2014, zawadi hiyo ilipokelewa na...

 

10 years ago

GPL

WOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR

Jacqueline Wopler (kushoto) akibeba mfuko wa sukari. Vyakula vilivyotolewa na Jacqueline Wolper katika kituo cha kulelea wazee wasiojiweza kituo cha  Msimbazi Centre  jijini Dar.…

 

10 years ago

Bongo Movies

SIKU YAKE YA KUZALIWA: Jackline Wolper Awatembea Wazee Wasiojiweza

Leo ni siku ya kuzaliwa ya Muigizaji  Jackline Wolper, akiongozana na baadhi ya waigizaji wenzie wakiwemo Kajala na Nanaiki, Wamewatembelea  wazee wasio jiweza na hiki ndicho alicho andika kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM

“Jamani wapenzi wangu flwz wangu wote sku yangu yakuzaliwa ilikua poa saana jmn am happy nimetembelea ktuo hiki cha wazee wasojiweza kinachosimamiwa na masista ...kiukwel namshukuru Mungu kwa moyo waupendo namapenzi kuwaza nakukumbuka kma kuna watu kma hawa ambao pia...

 

10 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AWATEMBELEA NA KUWAFARIJI WAZEE WAASISI WA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mzee Machano Mjombo (102) mmoja kati ya Waasisi wa TANU na ASP wakati alipomtembelea kijijini kwake Gamba Mabatini Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya kumjulia hali leo Januari 07,2015. M akamu wa Rais wa…

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AWATEMBELEA NA KUWAFARIJI WAZEE WAASISI WA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mzee Machano Mjombo (102) mmoja kati ya Waasisi wa TANU na ASP wakati alipomtembelea kijijini kwake Gamba Mabatini Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya kumjulia hali leo Januari 07,2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wanafamilia ya marehemu Mzee MtumwaKassim, wakati alipowatembelea kijijini kwao Gamba Sokoni Mkoa wa Kaskazini...

 

9 years ago

Michuzi

Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation (TPF) yawaandalia Wazee wasiojiweza sherehe ya Krismas na Mwaka Mpya Courtyard protea hotel jijini Dar es salaam

Taswira za shughuli malumu ya chakula cha mchana iliyofanyika pale Courtyard Protea hotel ya Sea View jijini Dar es salam  kwa ajili ya wazee wasiojiweza wanaosaidiwa na Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation siku ya Jumamosi tarehe 19 Desemba, 2015. Shughuli iliandaliwa na uongozi wa  Protea na Rickshaw kwa ajili ya kusherehekea Krismas na mwaka mpya. Jumla ya wazee 60 na wajukuu wao  walikaribishwa na kusaidiwa na wafanyakazi wa Protea. Viongozi pamoja na wahudumu waliopokea wageni wao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani