Tanzania yaipongeza China kwa misaada ya kimaendeleo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatafa Bernard Membe akitoa hotuba kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika sherehe ya mwaka mpya wa Kichina jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Na Magreth Kinabo na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatafa Bernard Membe, ameipongeza Serikali Jamhuri ya China kwa msaada wake wa kuhakikisha Tanzania imefungua idara ya maalum...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi21 Oct
SMZ YAIPONGEZA UN KWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KIMAENDELEO VISIWANI ZANZIBAR
![IMG_9022](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/IMG_9022.jpg)
Na Mwandishi wetu, ZanzibarSERIKALI ya mapinduzi Zanzibar imesema kuwa itaendelea kuthamini...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/IMG_9368.jpg)
SMZ YAIPONGEZA UN KWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KIMAENDELEO VISIWANI ZANZIBAR
10 years ago
StarTV04 Mar
Tanzania yaipongeza China kudhibiti biashara meno ya Tembo.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa zote zitokanazo na meno ya Tembo kutoka sehemu yoyote duniani kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa kusema hatua hiyo itasaidia kumaliza mauaji ya wanyama hao.
Uamuzi huo wa China unatokana na ushawishi wa Viongozi wa Afrika chini ya Rais Jakaya Kikwete na mataifa washiriki duniani ya Amerika, Ujerumani, Jumuiya ya Ulaya, Uingereza na Serikali ya...
10 years ago
Habarileo17 Jun
Dk Shein aishukuru China kwa misaada
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameishukuru Serikali ya China kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuendelea kuwaleta madaktari kila baada ya miaka miwili hapa nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FhAsdhjjsLg/Xm4Vs6doQcI/AAAAAAALjvE/0tS7TaxcqR8_JN7lj3VXWSyRL1nTZZQeACLcBGAsYHQ/s72-c/3994a4b4-879f-4379-a162-022d57653170.jpg)
IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA KIBIASHARA NA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA imepongezwa na Shirika la Fedha duniani (IMF) kutokana na namna ilivyoboresha mazingira ya kibiashara, kudhibiti mfumuko wa bei ambao uko chini ya asilimia tano, ongezeko la mikopo sekta binafsi pamoja na uimara wa kuwa na fedha nyingi za kigeni kulinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Ripoti ya Shirika hilo iliyotolewa Machi mwaka inaeleza kuridhishwa na deni la Taifa ambalo wamelitaja kuwa himilivu na linaifanya Tanzania iendelee kupokea mikopo...
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Ufaransa yaahidi misaada zaidi kwa Tanzania
AFD ni Taasisi ya kifedha ya Ufaransa na ndiye mtekelezaji Mkuu wa misaada ya kimaendeleo ya nchi hiyo kwa nchi zinazoendelea na zile zenye ngome ya Ufaransa zilizopo katika nchi nyingine duniani kote.
Taasisi hii inatoa fedha kwa miradi ya maendeleo katika zaidi ya nchi 90 zikiwemo nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mwandishi wa makala hii alifanya mahojiano na Mkurugenzi wa taasisi ya AFD kwa nchi za Afrika Mashariki, Yves Boudot kama ifuatavyo.
Raia Tanzania: Kwa faida ya...
9 years ago
Habarileo24 Aug
Marekani yaipongeza Tanzania
MWAKILISHI Maalumu wa Marekani katika Eneo la Maziwa Makuu, Thomas Perriello amempongeza Rais Jakaya Kikwete na Tanzania kuhusu msimamo wake thabiti wa kibinadamu wa kupokea wakimbizi kutoka nchi jirani katika historia yote ya miaka 54 tangu uhuru wake.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lvftgMLRFhc/Vg4v_EAaHkI/AAAAAAAH8RI/-T5VaFMJOmg/s72-c/New%2BPicture.png)
NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE ATAKA NCHI ZILIZONYUMA KIMAENDELEO KUZUNGUMZA KWA KAULI MOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lvftgMLRFhc/Vg4v_EAaHkI/AAAAAAAH8RI/-T5VaFMJOmg/s640/New%2BPicture.png)
Na Mwandishi Maalum, New York WAKATI kila Nchi mwanachama wa Umoja wa...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tanzania yaipongeza ICC kesi ya Kenyatta
SERIKALI ya Tanzania imepongeza uamuzi wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC) wa kufuta kesi iliyokuwa ikiwakabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto. Akizungumza jijini Dar...