IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA KIBIASHARA NA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FhAsdhjjsLg/Xm4Vs6doQcI/AAAAAAALjvE/0tS7TaxcqR8_JN7lj3VXWSyRL1nTZZQeACLcBGAsYHQ/s72-c/3994a4b4-879f-4379-a162-022d57653170.jpg)
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA imepongezwa na Shirika la Fedha duniani (IMF) kutokana na namna ilivyoboresha mazingira ya kibiashara, kudhibiti mfumuko wa bei ambao uko chini ya asilimia tano, ongezeko la mikopo sekta binafsi pamoja na uimara wa kuwa na fedha nyingi za kigeni kulinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Ripoti ya Shirika hilo iliyotolewa Machi mwaka inaeleza kuridhishwa na deni la Taifa ambalo wamelitaja kuwa himilivu na linaifanya Tanzania iendelee kupokea mikopo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s72-c/UNODC.jpg)
UNODC YAIPONGEZA TANZANIA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s400/UNODC.jpg)
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) kupitia kamisheni ya Kimataifa ya Kudhibiti Dawa za Kulevya limeipongeza Tanzania kwa jitihada madhubuti za kudhibiti na kupambana na tatizo la dawa za kulevya.Kwa mujibu wa taarifa inasema, juhudi hizo zimeleta matokeo chanya katika mapambano ya dawa za kulevya duniani katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2018 hadi 2020.Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na...
10 years ago
StarTV04 Mar
Tanzania yaipongeza China kudhibiti biashara meno ya Tembo.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa zote zitokanazo na meno ya Tembo kutoka sehemu yoyote duniani kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa kusema hatua hiyo itasaidia kumaliza mauaji ya wanyama hao.
Uamuzi huo wa China unatokana na ushawishi wa Viongozi wa Afrika chini ya Rais Jakaya Kikwete na mataifa washiriki duniani ya Amerika, Ujerumani, Jumuiya ya Ulaya, Uingereza na Serikali ya...
5 years ago
MichuziTanzania Yafanya Vizuri Mfumuko wa Bei - NBS
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Bi.Ruth Minja alisema kuwa kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwaka ulioushia mwezi Februari, 2020 imebaki kuwa sawa na kasi ya...
11 years ago
MichuziTanTrade yapongezwa kwa kuboresha Muungano Kibiashara
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Mfumuko wa bei waongezeka kwa pointi
OFISI ya Taifa ya Takwimu, imesema mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 6.5 hadi 6.7 kati ya Agosti na Julai mwaka huu kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa zisizo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WU701eLUrHY/Vmbescti4uI/AAAAAAAIK-I/qJBBchM1JA8/s72-c/IMG_6942.jpg)
MFUMUKO WA BEI WA NOVEMBA UMEONGEZEKA KWA ASILIMIA 6.6
![](http://2.bp.blogspot.com/-WU701eLUrHY/Vmbescti4uI/AAAAAAAIK-I/qJBBchM1JA8/s640/IMG_6942.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-TsZ1ZW8to/VmbessTM-5I/AAAAAAAIK-M/cN88dQE_Hp8/s640/IMG_6952.jpg)
10 years ago
MichuziMFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAPUNGUA KWA ASILIAMIA 4.8 KWA DESEMBA 2014.
Na Chalila Kibuda na Globu ya Jamii,Dar.
Mfumuko wa bei wa Taifa wa Disemba 2014 ulipungua kwa asilimia 4.8 kutoka asilimia 5.8 Novemba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari leo...
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10