Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAPUNGUA KWA ASILIAMIA 4.8 KWA DESEMBA 2014.

 Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu,Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari hawapo nchini juu mfumuko wa bei kwa desemba mwaka jana.Meneja wa Utafiti wa Benki Kuu (BoT),Johnson Nyella akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya sera za Benki Kuu  katika kudhibiti mfumuko.
Na Chalila Kibuda na Globu ya Jamii,Dar.
Mfumuko wa bei  wa  Taifa wa Disemba 2014 ulipungua kwa asilimia 4.8 kutoka   asilimia 5.8 Novemba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari leo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YASEMA MFUMUKO WA BEI WA TAIFA KWA MWEZI JANUARI, 2015 UMEENDELEA KUPUNGUA KWA ASILIMIA 4.0‏

 Mkurugenzi wa Sensa za Jamii na Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Ephrahim Kwesigabo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari.  Mkurugenzi wa Sensa za Jamii na Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Ephrahim Kwesigabo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo , wakati akitoa Fahirisi za bei za taifa kwa mwezi Januari, 2015. Kulia ni Kaimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei wapungua

OFISI ya Takwimu ya Taifa imesema mfumuko wa bei wa Juni umepungua hadi asilimia 6.4 kutoka asilimia 6.5 ilivyokuwa Mei mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

10 years ago

StarTV

Mfumuko wa bei ya chakula wapungua.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es salaam.

 

Ofisi ya Taifa ya Takwimu imetangaza kushuka kwa kasi ya Mfumuko wa Bei iliyojitokeza kwenye Bidhaa mbalimbali katika mwezi Desemba mwaka jana ambao ulikuwa asilimia 4.8 hadi kufikia asilimia 4.0 kwa Mwezi Januari mwaka huu.

 

Mkurugenzi wa takwimu za idadi za watu na huduma za kijamii Ephraim Kwesigabo amesema kupungua kwa mfumko wa bei hizo kumetokana na kushuka kwa kasi kwa bei za bidhaa za vyakula, Unga, mafuta ya taa Deseli na...

 

10 years ago

Michuzi

MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA

Na. Aron Msigwa-MAELEZO.
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Septemba 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 6.6 kutoka asilimia 6.7 iliyokuwepo mwezi Agosti kutokana na kupungua kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa bidhaa za vyakula zikiwemo mchele, mahindi, ulezi, matunda, Sukari na vinywaji baridi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumuko wa bei wapungua nchini

Mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia Desemba mwaka jana umeshuka hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 5.8 ya Novemba kutokana na kupungua kwa bei za bidhaa mbalimbali ikielezwa kwamba kupungua huko kulikuwa hakujatokea kwa miaka miwili iliyopita.

 

10 years ago

GPL

MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA‏

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akitoa taarifa ya kupungua kwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Januari, 2015 leo jijini Dar es salaam.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Januari, 2015  umepungua hadi kufikia asilimia 4.0 kutoka asilimia 4.8 ya mwezi Desemba, 2014 kutokana na kuendelea kupungua kwa kasi ya bei ya bidhaa...

 

10 years ago

Habarileo

Mfumuko wa bei kitaifa sasa wapungua

UPANDAJI wa bei za bidhaa na huduma kuishia Desemba 2014 imepungua ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwezi Novemba mwaka huo huo.

 

10 years ago

GPL

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YASEMA MFUMUKO WA BEI WA HUDUMA NA BIDHAA WAPANDA KWA ASILIMIA 4.5

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Iphrahim Gwesigabo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kupanda kwa mfumuko wa bei wa huduma na bidhaa.   Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Iphrahim Gwesigabo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kupanda kwa mfumuko...

 

11 years ago

GPL

OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA YATANGAZA MFUMUKO WA BEI WA MWEZI JUNI, 2014

Jengo la ofisi ya Taifa ya Takwimu.
Kibao cha ofisi ya Taifa ya Takwimu. Fahirisi za bei za Taifa kwa mwezi Juni, 2014…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani