Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TanTrade yapongezwa kwa kuboresha Muungano Kibiashara

 Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa maonyesho ya biashara ya Eid El Fitri katika viwanja vya Maisara, wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Sabetha Mwambenja na katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Bi. Anna Bulondo. Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui akiangalia bidhaa za wajasiriamali kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

TBL yapongezwa kwa kuboresha afya za madereva

KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, ameipongeza Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa jitihada za kuhakikisha usalama barabarani na afya za madereva zinaimarika.

Kamanda Mpinga alitoa pongezi hizo jana jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kupokea hundi ya Sh. milioni 124.6 kutoka TBL ili kufanikisha wiki ya usalama barabarani na kufadhili upimaji afya za madereva wa masafa marefu.

Akizungumza baada ya kupokea fedha hizo, Kamanda Mpinga alisema kwa miaka saba...

 

5 years ago

Michuzi

IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA KIBIASHARA NA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI


Charles James, Michuzi TV

TANZANIA imepongezwa na Shirika la Fedha duniani (IMF) kutokana na namna ilivyoboresha mazingira ya kibiashara, kudhibiti mfumuko wa bei ambao uko chini ya asilimia tano, ongezeko la mikopo sekta binafsi pamoja na uimara wa kuwa na fedha nyingi za kigeni kulinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki.

Ripoti ya Shirika hilo iliyotolewa Machi mwaka inaeleza kuridhishwa na deni la Taifa ambalo wamelitaja kuwa himilivu na linaifanya Tanzania iendelee kupokea mikopo...

 

10 years ago

Vijimambo

TUME YA MIPANGO YAPONGEZWA KWA UFANISI

Na Adili Mhina.
Ofisi ya Rais, tume ya mipango imepongezwa kwa hatua kubwa iliyopiga katika kutekeleza majukumu mbalimbli ya kitaifa.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango lililofanyikia mjini Kibaha mwishoni mwa juma.

Mheshimiwa Ndikilo alieleza kuwa Tume ya mipango imepiga hatua kubwa katika kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kutayarisha mpango wa taifa wa kila...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA JAMII

Zimepita wiki tatu na siku kadhaa tangu ichapishwe habari inayomuhusu mtoto Aloyce Mhagama, mlemavu wa viungo katika Gazeti la Risasi Jumamosi Toleo namba 1087, Aprili 12 mwaka huu lenye kichwa cha habari kinachosema Mtoto: LICHA YA ULEMAVU WANGU HUU, IPO SIKU TU NITAKUWA RAIS, Kampuni ya Global Publishers inayochapisha magazeti pendwa imepongezwa kwa kusaidia jamii. Mtoto Neema Joseph aliyekuwa anasumbuliwa na jicho. ...

 

11 years ago

Habarileo

Bakwata yapongezwa kwa ujenzi wa ofisi zake

BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (BAHAKITA) limepongeza uendelezwaji wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(Bakwata) Makao Makuu.

 

11 years ago

Michuzi

BRN yapongezwa kwa kuwasaidia wakulima wadogo

Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) umepongezwa kwa kuweka katika moja ya sekta zake za kipaumbele, miradi ya kilimo inayolenga kuwasaidia wakulima wadogo nchini.
Kauli hiyo imetolewa Dar es Salaam jana na Mwakilishi wa Rais wa Mpango wa UN wa Kusaidia Uwekezaji katika Kilimo (IFAD), Yaya Olanirani, wakati ujumbe wa taasisi hiyo ulipokutana na watendaji mbalimbali wa Serikali. IFAD ni asasi ya Umoja wa Mataifa inayosaidia uwekezaji katika kilimo.
"Tumefurahishwa na miradi ya BRN...

 

11 years ago

Habarileo

Bakwata yapongezwa kwa kujenga shule, chuo

BARAZA la Waislamu Tanzania (Bakwata), limepongezwa kwa ujenzi wa shule na chuo cha ualimu kwenye Makao Makau ya baraza hilo, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwananchi yapongezwa tena kwa uandishi mahiri

Gazeti la Mwananchi limetajwa kuwa ni mfano bora kwa kuripoti habari za uchaguzi wa mwaka huu bila upendeleo huku likiwapa wananchi fursa ya kuzungumza na wagombea wao.

 

9 years ago

StarTV

TFF yapongezwa kwa kuanzisha mashindano ya kombe la FA.

 

Mara baada ya kuanza rasmi kwa mashindano ya kombe la Shirikisho (FA)wadau wa mchezo soka Mkoani Morogoro, wameupongeza uongozi wa TFF, kwa uanzishaji wa mashindano hayo, kwani wanaamini yamelenga katika kuleta maendeleo ya mchezo wa soka nchini, pamoja na kuibua vipaji vya wachezaji ambao walikosa fursa ya kuonekana.

Aidha imeelezwa michuano hiyo itawasaidia wachezaji wachanga na timu za chini, kujijengea uwezo wa kujiamini, kutokana na kupata nafasi ya kukutana na timu zinazoshiriki ligi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani