TBL yapongezwa kwa kuboresha afya za madereva
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, ameipongeza Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa jitihada za kuhakikisha usalama barabarani na afya za madereva zinaimarika.
Kamanda Mpinga alitoa pongezi hizo jana jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kupokea hundi ya Sh. milioni 124.6 kutoka TBL ili kufanikisha wiki ya usalama barabarani na kufadhili upimaji afya za madereva wa masafa marefu.
Akizungumza baada ya kupokea fedha hizo, Kamanda Mpinga alisema kwa miaka saba...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTBL YAPONGEZWA KWA KUJENGA KISIMA CHA MAJI KITUO CHA AFYA TUNDUMA.
10 years ago
MichuziTBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
10 years ago
GPLTBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
 Kaimu mkuu wa mkoa wa Morogoro ambaye ni mkuu wa wilaya ya Mvomero, Anthony Mtaka akikabidhiwa zawadi ya fulana na Mkurugenzi wa uhusiano na sheria wa TBL, Steven Kilindo yenye ujumbe wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani baada ya mkuu huyo kuzindua rasmi upimaji wa afya kwa madereva wa mabasi na malori ya masafa marefu katika kituo cha mizani cha Mikese mkoa wa Morogoro, zaidi ya madereva 200 wanatarajiwa kupimwa afya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sB_F-QkZkLw/VcRpQJBQJ1I/AAAAAAAA4II/5sPXuuQfIeQ/s72-c/DK%2BISSA%2BNDIMILA%2BAKICHUA%2BDAMU%2BKWA%2BKUPIMA%2BPRESHA%2BKTK%2BWIKI%2BYA%2BNENDA%2BKWA%2BUSALAMAMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B012.jpg)
TBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WA MASAFA MAREFU WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sB_F-QkZkLw/VcRpQJBQJ1I/AAAAAAAA4II/5sPXuuQfIeQ/s640/DK%2BISSA%2BNDIMILA%2BAKICHUA%2BDAMU%2BKWA%2BKUPIMA%2BPRESHA%2BKTK%2BWIKI%2BYA%2BNENDA%2BKWA%2BUSALAMAMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B012.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PoTRefeN2_s/VcRpQL2Su-I/AAAAAAAA4IE/nMI7qBTL_GA/s640/DK%2BISSA%2BNDIMILA%2BNA%2BDEREVA%2BBENEDICKITI%2BSAMUEL%2BWIKI%2BYA%2BNENDA%2BKWA%2BUSALAMAMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B02.jpg)
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL.24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA. ZITASAIDIA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA
9 years ago
VijimamboKAMANDA MPIGA AKABIDHI TBL,RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA
10 years ago
MichuziTBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI
11 years ago
MichuziTanTrade yapongezwa kwa kuboresha Muungano Kibiashara
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania