TBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WA MASAFA MAREFU WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sB_F-QkZkLw/VcRpQJBQJ1I/AAAAAAAA4II/5sPXuuQfIeQ/s72-c/DK%2BISSA%2BNDIMILA%2BAKICHUA%2BDAMU%2BKWA%2BKUPIMA%2BPRESHA%2BKTK%2BWIKI%2BYA%2BNENDA%2BKWA%2BUSALAMAMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B012.jpg)
Mganga kutoka kitengo cha afya makao makuu ya jeshi la polisi Tanzania, Dk Issa Ndimila akimchukua damu dereva wa magari makubwa, Benedicti Samuel kwa ajili ya kumpima magonjwa katika uzinduzi wa upimaji wa afya kwa madereva wa mabasi na malori ya masafa marefu ikiwa sehemu ya maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani katika kituo cha mizani cha Mikese mkoa wa Morogoro mpango ulioanzishwa na TBL na jeshi la polisi nchini.
Mganga kutoka kitengo cha afya makao makuu ya jeshi la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
10 years ago
GPLTBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL.24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA. ZITASAIDIA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
TBL yatumia mil. 80/- wiki ya nenda kwa usalama barabarani
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imetumia sh milioni 80 kufanikisha shughuli mbalimbali wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani nchini. Hayo yalisemwa na Ofisa Uhusiano wa TBL,...
10 years ago
MichuziTBL YATOA SH. MIL 124 KUDHAMINI WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
10 years ago
VijimamboMSAADA ZAIDI WATOLEWA NA TBL MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
9 years ago
MichuziUBORESHAJI WA USALAMA BARABARANI KWA USAFIRISHAJI WA MASAFA MAREFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3E2ISzuCNH4/VgWJdLK2qWI/AAAAAAAAH54/Qr8_aISR-EQ/s640/f%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-02BzRWa-KcA/VgWJdAHIEgI/AAAAAAAAH6A/ppPEjyiaLco/s640/f%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-q0btNnu8MYw/VgWJfQMkglI/AAAAAAAAH6M/8C7QeT0gego/s640/f.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Mtandao wa miundombinu...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
TBL yatia mkono wiki ya nenda kwa usalama
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekabidhi sh million 24 kwa Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani ili kuwezesha upimaji wa afya kwa madereva. Zaidi ya madereva 2,500 watanufaika na...