TBL YATOA SH. MIL 124 KUDHAMINI WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Oriyo (kulia), akimkabidhi Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, DCP, Mohamed Mpinga, mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni 124, 6. za kudhamini upimaji wa afya za madereva wa masafa marefu nchini na kugharamia mafunzo kwa waendesha Bodaboda 300 wa Mkoa wa Tanga, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama itakayofanyika mkoani Tanga Agosti 3-7 mwaka huu. Kushoto ni Mnadhimu Mkuu wa Kikosi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
TBL yatumia mil. 80/- wiki ya nenda kwa usalama barabarani
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imetumia sh milioni 80 kufanikisha shughuli mbalimbali wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani nchini. Hayo yalisemwa na Ofisa Uhusiano wa TBL,...
10 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA
10 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL.24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL.24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA. ZITASAIDIA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA
10 years ago
VijimamboMSAADA ZAIDI WATOLEWA NA TBL MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sB_F-QkZkLw/VcRpQJBQJ1I/AAAAAAAA4II/5sPXuuQfIeQ/s72-c/DK%2BISSA%2BNDIMILA%2BAKICHUA%2BDAMU%2BKWA%2BKUPIMA%2BPRESHA%2BKTK%2BWIKI%2BYA%2BNENDA%2BKWA%2BUSALAMAMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B012.jpg)
TBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WA MASAFA MAREFU WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sB_F-QkZkLw/VcRpQJBQJ1I/AAAAAAAA4II/5sPXuuQfIeQ/s640/DK%2BISSA%2BNDIMILA%2BAKICHUA%2BDAMU%2BKWA%2BKUPIMA%2BPRESHA%2BKTK%2BWIKI%2BYA%2BNENDA%2BKWA%2BUSALAMAMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B012.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PoTRefeN2_s/VcRpQL2Su-I/AAAAAAAA4IE/nMI7qBTL_GA/s640/DK%2BISSA%2BNDIMILA%2BNA%2BDEREVA%2BBENEDICKITI%2BSAMUEL%2BWIKI%2BYA%2BNENDA%2BKWA%2BUSALAMAMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B02.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
TBL yatia mkono wiki ya nenda kwa usalama
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekabidhi sh million 24 kwa Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani ili kuwezesha upimaji wa afya kwa madereva. Zaidi ya madereva 2,500 watanufaika na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s72-c/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA HESHIMA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HD6ezOVmOYI/VCnJVWIYd8I/AAAAAAAAuz0/6CyMUs6n0C0/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3CSD0c04H0/VCnJc9-Cq3I/AAAAAAAAu0E/3cFLT3J_hwQ/s1600/10.jpg)
10 years ago
MichuziTBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA