Mwananchi yapongezwa tena kwa uandishi mahiri
Gazeti la Mwananchi limetajwa kuwa ni mfano bora kwa kuripoti habari za uchaguzi wa mwaka huu bila upendeleo huku likiwapa wananchi fursa ya kuzungumza na wagombea wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi20 Oct
TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA
![Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EBRBcfZiUoNrOjZZH4l2_HFD2IneZeJyykfH9_SNemWYBGZ3aQeiT2Zf1sD7umXID1NSvMu6CjpjB8vvodCvPO4JnkA2b7D90CMIEG5R7MZY40tIR72vnn9Gc1aNIz2-=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Kajubi-620x308.jpg)
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Magazeti ya Mwananchi kidedea tena
Kwa mara nyingine, magazeti ya Mwananchi yameibuka kinara kwa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo, kwa kuzingatia weledi na kuwapa wananchi nafasi ya kuzungumza na wagombea wao.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Magazeti ya Mwananchi yaibuka tena kidedea uchaguzi
Kwa mara ya tano mfululizo, magazeti ya Mwananchi na The Citizen yameibuka kinara wa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo kwa vyama vya siasa wala wagombea tangu kuanza kwa kampeni zilizodumu kwa siku 64.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Airtel yazindua huduma mpya ya mitindo kwa njia ya simu kwa kushirikiana na Mbunifu Mahiri Afrika Mustafa hassanali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Uandishi usio uandishi wa habari
Kama kuna uandishi wa habari ambao utachukiza na hata kuchefua wasomaji na wasikilizaji Jumapili hii, ni unaofanana na huu hapa.
10 years ago
VijimamboTUME YA MIPANGO YAPONGEZWA KWA UFANISI
Na Adili Mhina.
Ofisi ya Rais, tume ya mipango imepongezwa kwa hatua kubwa iliyopiga katika kutekeleza majukumu mbalimbli ya kitaifa.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango lililofanyikia mjini Kibaha mwishoni mwa juma.
Mheshimiwa Ndikilo alieleza kuwa Tume ya mipango imepiga hatua kubwa katika kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kutayarisha mpango wa taifa wa kila...
Ofisi ya Rais, tume ya mipango imepongezwa kwa hatua kubwa iliyopiga katika kutekeleza majukumu mbalimbli ya kitaifa.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango lililofanyikia mjini Kibaha mwishoni mwa juma.
Mheshimiwa Ndikilo alieleza kuwa Tume ya mipango imepiga hatua kubwa katika kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kutayarisha mpango wa taifa wa kila...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c7pQYFZ5DWKWcgsEauxCMtYIvIUiylHzgMu-9VXbBZbfIRviDk2xxiNTfiBLrPScDsKgzeDavEStQaRZwt1Swa/uwaznet.jpg?width=650)
GLOBAL YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA JAMII
Zimepita wiki tatu na siku kadhaa tangu ichapishwe habari inayomuhusu mtoto Aloyce Mhagama, mlemavu wa viungo katika Gazeti la Risasi Jumamosi Toleo namba 1087, Aprili 12 mwaka huu lenye kichwa cha habari kinachosema Mtoto: LICHA YA ULEMAVU WANGU HUU, IPO SIKU TU NITAKUWA RAIS, Kampuni ya Global Publishers inayochapisha magazeti pendwa imepongezwa kwa kusaidia jamii. Mtoto Neema Joseph aliyekuwa anasumbuliwa na jicho. ...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kwa nini ni muhimu kwa mwananchi kushiriki katika mchakato wa bajeti ya serikali?
Unafahamu nini kuhusu mchakato wa kutengeneza bajeti?
11 years ago
Michuzi16 May
BRN yapongezwa kwa kuwasaidia wakulima wadogo
Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) umepongezwa kwa kuweka katika moja ya sekta zake za kipaumbele, miradi ya kilimo inayolenga kuwasaidia wakulima wadogo nchini.
Kauli hiyo imetolewa Dar es Salaam jana na Mwakilishi wa Rais wa Mpango wa UN wa Kusaidia Uwekezaji katika Kilimo (IFAD), Yaya Olanirani, wakati ujumbe wa taasisi hiyo ulipokutana na watendaji mbalimbali wa Serikali. IFAD ni asasi ya Umoja wa Mataifa inayosaidia uwekezaji katika kilimo.
"Tumefurahishwa na miradi ya BRN...
Kauli hiyo imetolewa Dar es Salaam jana na Mwakilishi wa Rais wa Mpango wa UN wa Kusaidia Uwekezaji katika Kilimo (IFAD), Yaya Olanirani, wakati ujumbe wa taasisi hiyo ulipokutana na watendaji mbalimbali wa Serikali. IFAD ni asasi ya Umoja wa Mataifa inayosaidia uwekezaji katika kilimo.
"Tumefurahishwa na miradi ya BRN...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania