TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA
Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge jijini Dar es Salaam.
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Mwananchi yapongezwa tena kwa uandishi mahiri
10 years ago
GPLTUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE, VIPENGELE VYAONGEZEKA
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE VIPENGELE VYAONGEZWA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/03/Mhariri-mkuu-wa-Bongo5-Bw.-Fredrick-Bundara-akiwa-pamoja-na-mhariri-msaidizi-Sandu-George-wakizungumza-leo-na-waandishi-wa-habari-katika-uzinduzi-wa-Tuzo-za-watu-2015.jpg)
Kampuni ya Bongo5 Media Group, imezindua msimu mpya na wa pili wa Tuzo za Watu Tanzania zilizoanzishwa mwaka jana ili kuwatuza watu kwenye sekta ya burudani na habari wanaofanya vizuri.Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari leo, mhariri mkuu wa mtandao wa Bongo5, Fredrick Bundala amesema tuzo za mwaka huu zimeboreshwa zaidi kwa kuongeza vipengele vitatu vipya.
“Mwaka huu tuzo zimeongezewa nguvu zaidi. Kutoka vipengele 11 tulivyokuwa navyo mwaka jana hadi vipengele 1. Mwaka huu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iwSjJYwAdW8/UySCjUxuqyI/AAAAAAAFTpQ/TerE4MLvAGs/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Tuzo za Umahiri wa uandishi wa habari 2013
![](http://2.bp.blogspot.com/-iwSjJYwAdW8/UySCjUxuqyI/AAAAAAAFTpQ/TerE4MLvAGs/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N66fgCbENG0/UySCjSxmG6I/AAAAAAAFTpM/JmHvkTkm3_Y/s1600/unnamed+(12).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kDvSq8DOQJ8/VnK-BJM7izI/AAAAAAAINIw/kdci_Lgmuks/s72-c/IMG_8505.jpg)
WATANZANIA WANNE WAPATA TUZO ZA UANDISHI WA FASIHI YA KISWAHILI AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kDvSq8DOQJ8/VnK-BJM7izI/AAAAAAAINIw/kdci_Lgmuks/s640/IMG_8505.jpg)
Afisa Masoko wa Alaf, Theresia Mmasy akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani)jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mwandishi wa kitabu cha Kolonia Santita, Enock Maregesi na Mwandishi wa Ushairi la Kifaurongo, Christopher Budebah.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XyESyLq-j6g/VnK-AohZe8I/AAAAAAAINIo/Vkc2CzA6y2k/s640/IMG_8506.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c3maz0i15GA/VnK-CWp8RAI/AAAAAAAINJA/Qdu9DNHrhMo/s640/IMG_8532.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ErvIMceNsGA/VTuQeEYcoAI/AAAAAAAHTKI/WgI0NpBrxQI/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI (EJAT) JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-ErvIMceNsGA/VTuQeEYcoAI/AAAAAAAHTKI/WgI0NpBrxQI/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MEkYvP8PhUY/VTuQpkDDotI/AAAAAAAHTMI/bLoZzqCEEiI/s1600/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc4kNP5awLbK8uK4bE6sNTfmTgdK-75WSmPvvRtJMKYqR-aPBI2W5ljzSkGnJQT0r9Qtgnbkh*M1MM-dgO0FAj8U/VITABUSHIGONGO2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGUt*Tkt0ldXIm1ikG8efQ0Pp*vfn-7JN-zEDnceOrKi265y*pLLTv2bmf*OYgFi0yTiTPfLbul3BESk50YtDduD/SHIGONGONEW.jpg?width=650)