Tuzo za Umahiri wa uandishi wa habari 2013
![](http://2.bp.blogspot.com/-iwSjJYwAdW8/UySCjUxuqyI/AAAAAAAFTpQ/TerE4MLvAGs/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Mpiga Picha Mkuu wa Kampuni ya Raia Mwema, Mpiganaji Anthony Siame akikabidhiwa tuzo ya Umahairi wa Uandishi wa Habari na Bw. Aggrey Mareale baada ya kuibuka mshindi wa picha bora kwa mwaka 2013 wakati wa Sherehe zilizofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Hongera mpiganaji!
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ErvIMceNsGA/VTuQeEYcoAI/AAAAAAAHTKI/WgI0NpBrxQI/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI (EJAT) JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-ErvIMceNsGA/VTuQeEYcoAI/AAAAAAAHTKI/WgI0NpBrxQI/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MEkYvP8PhUY/VTuQpkDDotI/AAAAAAAHTMI/bLoZzqCEEiI/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziWASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uQGJUiJDbHc/U3_AeDvKhyI/AAAAAAAFkpg/7nwIzX0M4Cs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013
![](http://4.bp.blogspot.com/-uQGJUiJDbHc/U3_AeDvKhyI/AAAAAAAFkpg/7nwIzX0M4Cs/s1600/unnamed+(5).jpg)
Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013.
Wanahabari waliofanikiwa kufika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZU1RwfOmNRg/U4ATmPavEiI/AAAAAAAAD2E/VqJR5lmCTb8/s72-c/10271513_803859216293513_1431705123531836857_n.jpg)
WAANDISHI 10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA ZA 2013.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZU1RwfOmNRg/U4ATmPavEiI/AAAAAAAAD2E/VqJR5lmCTb8/s1600/10271513_803859216293513_1431705123531836857_n.jpg)
Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013. Wanahabari waliofanikiwa kufika hatua ya fainali ni pamoja na Frank Leonard (Habari Leo), Jackson Kalindimya (Nipashe), Humphrey Mgonja (Radio...
10 years ago
MichuziWASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA KUJIFUNZA MAENEO YA UTALII AFRIKA KUSINI
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Uandishi usio uandishi wa habari
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge
11 years ago
MichuziWARSHA YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANDISHI WA HABARI ZA KITAKWIMU YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
WAANDISHI wa Habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kwa ajili ya kuhamasisha Umma kuhusu umuhimu wa Takwimu.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Takwimu za Kiuchumi Morice Oyuke kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa.mjini Morogoro leo asubuhi wakati akifungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za kitakwimu.
"Ninyi wanahabari ni muhimu katika masuala...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Waandishi 101 kuwania Tuzo za Umahiri
WAANDISHI wa habari 101 wameteuliwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT 2013) zinazotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) ambapo kilele chake kitakuwa Machi 14, mwaka huu.