TUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE, VIPENGELE VYAONGEZEKA
Mhariri mkuu wa Bongo5 Bw. Fredrick Bundara akiwa pamoja na mwariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na waandishi wa habari katika uzinduzi wa Tuzo za watu 2015 Mhariri mkuu wa Bongo5 Bw. Fredrick Bundara akiwa pamoja na mhariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE VIPENGELE VYAONGEZWA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/03/Mhariri-mkuu-wa-Bongo5-Bw.-Fredrick-Bundara-akiwa-pamoja-na-mhariri-msaidizi-Sandu-George-wakizungumza-leo-na-waandishi-wa-habari-katika-uzinduzi-wa-Tuzo-za-watu-2015.jpg)
Kampuni ya Bongo5 Media Group, imezindua msimu mpya na wa pili wa Tuzo za Watu Tanzania zilizoanzishwa mwaka jana ili kuwatuza watu kwenye sekta ya burudani na habari wanaofanya vizuri.Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari leo, mhariri mkuu wa mtandao wa Bongo5, Fredrick Bundala amesema tuzo za mwaka huu zimeboreshwa zaidi kwa kuongeza vipengele vitatu vipya.
“Mwaka huu tuzo zimeongezewa nguvu zaidi. Kutoka vipengele 11 tulivyokuwa navyo mwaka jana hadi vipengele 1. Mwaka huu...
9 years ago
Michuzi20 Oct
TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA
![Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EBRBcfZiUoNrOjZZH4l2_HFD2IneZeJyykfH9_SNemWYBGZ3aQeiT2Zf1sD7umXID1NSvMu6CjpjB8vvodCvPO4JnkA2b7D90CMIEG5R7MZY40tIR72vnn9Gc1aNIz2-=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Kajubi-620x308.jpg)
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...
10 years ago
Bongo504 Sep
Diamond atajwa kuwania vipengele 4 kwenye tuzo za CHOAMVA 2014
Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za CHOAMVA mwaka huu. Diamond ametajwa kuwania vipengele vinne ambavyo ni pamoja na MOST GIFTED VIDEO OF THE YEAR, MOST GIFTED NEWCOMER, MOST GIFTED AFRO POP na MOST GIFTED EAST. MOST GIFTED MALE CASSPER NYOVEST – DOC SHEBELEZA DAVIDO – AYE RIKY RICK FT OKMALUMKOOLKAT – AMANTOMBAZANE […]
9 years ago
Bongo517 Sep
Orodha kamili ya vipengele vyote vya tuzo za MTV EMA 2015
Taylor Swift ndiye msanii anayeongoza kwa nominations nyingi kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 akiwa anawania vipengele 9, akifuatiwa na Justin Bieber mwenye nominations 6. Tuzo hizo zitaoaneshwa Live Jumapili ya October 25 kupitia MTV (DStv channel 130) na MTV Base (DStv channel 322) kutokea Milan, Italy zitakakotolewa. Upigaji kura tayari umefunguliwa kupitia […]
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s72-c/unnamed.jpg)
ULIISIKIA HII YA MANJI KUSHINDA SHANI AU TUZO KUBWA ZAIDI, TUZO AMBAYO HUWANIWA NA WATU KAMA DANGOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s640/unnamed.jpg)
Mwenyekiti wa makampuni ya Quality group, Yusuf Manji ameibuka mshindi wa tuzo maarufu ya Mfanyabiashara Gwiji Duniani.
Manji ambaye ni mwenyekiti wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga ameibuka mshindi wa tuzo hiyo na kuwashinda mabosi wengine kama bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote.Kwa mujibu wa mtandao wa Business Forum, Mwenyekiti huyo wa amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo hiyo ambayo awali walikuwa wakichukua matajiri wengine wakubwa na maarufu kutoka katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heSLPCfJlI8xjIPrIoWkUcFrhgjER5vQOQHecRnpzGtaDJ1Ws544MZX-v5zUXQG5cKQ8gzko3h2Tj-bMwJlyXqs/glbl.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo12 May
TOP 3 YA TUZO ZA WATU
Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi...
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-37YHfe2ReLA/VTunDssE7-I/AAAAAAADkeQ/rJB84mD6lck/s72-c/square_with_sponsors.jpg)
MAJINA WATAKAOSHINDANIA TUZO ZA WATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-37YHfe2ReLA/VTunDssE7-I/AAAAAAADkeQ/rJB84mD6lck/s1600/square_with_sponsors.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sxleg7a-Ksc/VTunGPfnSHI/AAAAAAADkec/5l6fzCndd7g/s1600/TZW%2BNominees%2B-%2B2105.jpg)
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo – Clouds FM
Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
Ala za Roho – Clouds FMAmplifaya – Clouds FMHatua Tatu – Times FMPapaso – TBC FMXXL – Clouds FM
Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3
Abdallah ‘Dullah’ Ambua - EATV Salama Jabir – EATV/Maisha MagicSalim Kikeke – BBC SwahiliSam Misago - EATVZamaradi Mketema – Clouds TV
Kipindi cha runinga kinachopendwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o_Idj3WB4sI/VRRKd0JLjFI/AAAAAAAHNgo/UQLXYibPrmY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania