BRN yapongezwa kwa kuwasaidia wakulima wadogo
Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) umepongezwa kwa kuweka katika moja ya sekta zake za kipaumbele, miradi ya kilimo inayolenga kuwasaidia wakulima wadogo nchini.
Kauli hiyo imetolewa Dar es Salaam jana na Mwakilishi wa Rais wa Mpango wa UN wa Kusaidia Uwekezaji katika Kilimo (IFAD), Yaya Olanirani, wakati ujumbe wa taasisi hiyo ulipokutana na watendaji mbalimbali wa Serikali. IFAD ni asasi ya Umoja wa Mataifa inayosaidia uwekezaji katika kilimo.
"Tumefurahishwa na miradi ya BRN...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Kampeni ya GROW yaendesha mdahalo wa kuhamasisha wakulima wadogo wadogo wanawake
10 years ago
Vijimambo02 Oct
KAMPENI YA HAKI YA UCHUMI KATIKA MASWALA YA KILIMO YAENDESHA MDAHALO WA KUHAMASISHA WAKULIMA WADOGO WADOGO HUSUSANI WANAWAKE.
10 years ago
MichuziWizara ya nishati na madini yatangaza utoaji ruzuku awamu ya pili, kwa wachimbaji wadogo, BRN kupima utekelezaji, tathmini
10 years ago
StarTV14 Jan
Serikali kutoa elimu kwa wakulima wadogo wa Pamba.
Na Gloria Matola,
Pwani Bagamoyo.
Serikali imejipanga kuendelea kuwaelimisha wakulima wadogo wadogo wa zao la pamba waliopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ili wafikie hatua ya kulifanya zao hilo kuwa la kibiashara zaidi ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na hali ya umasikini uliokithiri kwenye ukanda wa Mashariki.
Hayo yameelezwa kwenye ziara ya Bodi ya Pamba kwa kushirikiana na Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Pwani CORECU na TACOGA lengo likiwa ni kuwahamasisha wakulima wa zao hilo kurejea...
11 years ago
Habarileo29 Jan
Kikwete asisitiza elimu ya kilimo kwa wakulima wadogo
RAIS Jakaya Kikwete amesema ili Tanzania ijitosheleze kwa chakula na iweze kuuza ziada, lazima kuendeleza wakulima wadogo kwa kuwapa elimu ya kilimo bora, mtaji na soko.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-P2LJ1Wx6l4I/U7ThCeM__EI/AAAAAAABBo4/wULjXAyTPMk/s72-c/nssf.jpg)
NSSF YAPANUA WIGO WA HUDUMA ZAKE KWA KUANZISHA MPANGO MAALUMU KWA WAKULIMA NA WACHIMBA MADINI WADOGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-P2LJ1Wx6l4I/U7ThCeM__EI/AAAAAAABBo4/wULjXAyTPMk/s1600/nssf.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1kmnPYFYvRs/U7ThAcosYAI/AAAAAAABBok/DR8k9oCwkag/s1600/a1.jpg)
10 years ago
MichuziSTAMICO KUANZISHA MTANDAO WA KUWASAIDIA WACHIMBAJI WADOGO
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Kampuni yaanzisha bima kuwasaidia wakulima
WAKULIMA wadogo nchini wameshauriwa kujiunga katika vikundi ili kunufaika na bima ya kilimo na kuepuka hatari ya ukame na mafuriko yanayoweza kuwasababishia hasara. Akizungumza katika hafla iliyoandaliwa na Kampuni ya...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Wakulima wadogo wakumbusha Azimio la Malabo
JUKWAA la wakulima wadogo kutoka nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika (ESAFF) wamezitaka serikali za nchi zao kuhakikisha wanaheshimu azimio la Malabo kuhusu Kilimo na upatikanaji wa uhakika wa chakula.