NSSF YAPANUA WIGO WA HUDUMA ZAKE KWA KUANZISHA MPANGO MAALUMU KWA WAKULIMA NA WACHIMBA MADINI WADOGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-P2LJ1Wx6l4I/U7ThCeM__EI/AAAAAAABBo4/wULjXAyTPMk/s72-c/nssf.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P2LJ1Wx6l4I/U7ThCeM__EI/AAAAAAABBo4/wULjXAyTPMk/s1600/nssf.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1kmnPYFYvRs/U7ThAcosYAI/AAAAAAABBok/DR8k9oCwkag/s1600/a1.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
LITTLE YAPANUA WIGO WAKE WA UTOAJI HUDUMA YA USAFIRI KATIKA MIJI YA DODOMA, ARUSHA, MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s200/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
KAMPUNI ya Tax ya kimtandao LITTLE inayotoa huduma za usafiri kwa wateja sasa imepanua wigo wake wa huduma rasmi katika Jiji la Dodoma, Arusha na Mwanza,hiyo ni kutokana na ongezeko kubwa la uhutaji ,
LITTLE ilianzisha huduma zake katika Jiji la Dar es salaam nchini Tanzania mwaka 2019, ilikumuhakikisha urahisi mteja ambaye atapaswa kulipia Sh. 500 kwa kilomita na Sh. 80 kwa dakika atakazotumia.
Akizungumzia upanuzi huo,Mkuu wa Operesheni Little Tanzania Eddsteve...
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi.Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine,Michael Van Anen Mwakilishi Mwandamizi kutoka Benki ya Dunia ambaye pia ni mtaalamu wa madini kutoka idara ya nishati endelevu nchini Marekani,Bwa.Mamadou Barry akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa wa uchimbaji madini kwa wachimbaji wadogo wadogo katika kijiji cha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0AEqUsFVPPk/U2rqs0siQdI/AAAAAAAA-bE/-F-_grJSfUQ/s72-c/magori.jpg)
NSSF YATOA SEMINA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA WAMADINI-MWANZA
"Niliamini kuwa itatuchukuwa muda mrefu kusafiri kuweza kujenga na kutengeneza kitu ambacho kitatambulika kitaifa kitakuwa na heshima inayostahili na kitatoa mchango unaostahili na kitashawishi wachimbaji wengine kuona kwamba hii ni Fursa ambayo hakuna yeyote yule anayeweza kuiacha ipite pembeni. Sasa wacha niwapongeze NSSF kwa kuwa wajanja kati ya mifuko mingine yote ya jamii na kuamua kuliangalia kundi hili ambalo nguvu yake ya baadaye italiongoza taifa kuwa na matajiri wake wa ndani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BENKI YA DUNIA YAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi. Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)
Wizara ya Nishati na Madini inaendelea na mpango wake wa Mafunzo kwa Wachimbaji Madini Nchini kuhusu matumizi ya Mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao yaani Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima ili kuwajengea uwezo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
GPLRAHA YAPANUA WIGO WA MAWASILIANO YA INTERNET TANZANIA
Mkurugenzi Mkuu wa Biashara wa Raha, Akash Karia (kushoto) akielezea huduma za internet zitolewazo na Raha kwa wanahabari (hawapo pichani). Pembeni ni viongozi wa kampuni hiyo. Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Akash.…
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
MO kuanzisha benki ya mikopo kwa wafanyabishara wadogo nchini
CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake.
Na Modewjiblog team
Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015) amebainisha kuwa lengo kuu la kampuni anayoiongoza ya MeTL Group, hadi kufikia mwaka 2022, ni kufikia dola bilioni 5 huku akitarajia kuajiri wafanyakazi zaidi ya Laki moja.
Dewji maarufu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hjddvqSdx_8/UwnBB1gBJgI/AAAAAAAFO3E/3ui7tQTmXRc/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Vodacom yaendelea kupanua wigo wa huduma kwa wateja Dar es Salaam
Wateja wa Vodacom wameendelea kukumbushwa kupata huduma katika maduka mapya yanayoendelea kufunguliwa maeneo mbalimbai karibu na makazi ili kuepuka gharama na usumbufu usio wa lazima wa kufuata huduma kwenye maduka yalyozoeleka yaliyopo mjini na yaliyo kwenye maeneo ya kibiashara.
Vodacom kwa sasa imekuwa ikifungua maduka sehemu mbalimbali ili kuwapunguzia gharama na muda wateja wake ikiwemo lilifunguliwa jana Tabata Magengeni jijini dar es salaam duka ambalo litatoa huduma kwa wakazi wa...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/DSC_0316.jpg)
MO KUANZISHA BENKI YA MIKOPO KWA WAFANYABISHARA WADOGO NCHINI
CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake. Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015) amebainisha kuwa lengo kuu la kampuni anayoiongoza ya MeTL Group, hadi kufikia mwaka 2022, ni kufikia dola bilioni 5 huku akitarajia kuajiri...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10