Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAHA YAPANUA WIGO WA MAWASILIANO YA INTERNET TANZANIA

Mkurugenzi Mkuu wa Biashara wa Raha, Akash Karia (kushoto) akielezea huduma za internet zitolewazo na Raha kwa wanahabari (hawapo pichani). Pembeni ni viongozi wa kampuni hiyo. Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Akash.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

LITTLE YAPANUA WIGO WAKE WA UTOAJI HUDUMA YA USAFIRI KATIKA MIJI YA DODOMA, ARUSHA, MWANZA


Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV

KAMPUNI ya Tax ya kimtandao LITTLE inayotoa huduma za usafiri kwa wateja sasa  imepanua wigo wake wa huduma rasmi katika Jiji la Dodoma, Arusha na Mwanza,hiyo ni kutokana na ongezeko kubwa la uhutaji ,

LITTLE ilianzisha huduma zake  katika Jiji la Dar es salaam nchini Tanzania mwaka 2019, ilikumuhakikisha urahisi mteja ambaye atapaswa kulipia Sh. 500 kwa kilomita na Sh. 80 kwa dakika atakazotumia.

Akizungumzia upanuzi huo,Mkuu wa Operesheni Little Tanzania Eddsteve...

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YAPANUA WIGO WA HUDUMA ZAKE KWA KUANZISHA MPANGO MAALUMU KWA WAKULIMA NA WACHIMBA MADINI WADOGO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Crescesius Magori (kulia) wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF akipata maelezo kutoka kwa Meneja Kiongozi, Uhusiano na  Huduma kwa Wateja, Eunice Chiume (katikati) wa Shirika hilo alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba). Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na  Teknohama, Idi Khalfani, Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi, Teopista Muheta.Kwa sasa Wakulima na wachimba madini Wadogo wanaweza kujichangia na...

 

11 years ago

Michuzi

Vijiji 1,800 kupata mawasiliano ya simu, internet mwakani (2015) - Makamba

Jumla ya vijini 1,800 vinatarajia kupatiwa mawasiliano ya simu ya na teknolojia ya mawasiliano ya habari na mawasiliano (Tehama ) ifikapo mwakani. 
Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa Tehama wa Africa (Capacity Africa), Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba alisema kuwa mpango huo upo katika hatua za mwisho na ifikapo mwaka 2017, jumla ya vijiji 4,000 zitakuwa vimepatiwa huduma hiyo.
Makama alisema kuwa serikali ipo katika hatua za mwisho kuzungumza...

 

10 years ago

GPL

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Universal Communications Service Access Fund – UCSAF) Eng Peter Ulanga (Katikati) akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Prof. John Nkoma, CEO wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura wakiweka sahihi mikataba ya mabilioni kupelekea… ...

 

10 years ago

Michuzi

SMILE COMMUNICATIONS YAPANUA HUDUMA MTANDAO WAKE WA INTANETI YA 4G LTE KUFIKIA MIJI SABA TANZANIA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dr. Ally Simba akizungumza kwenye hafla maalumu iliyoandaliwa na kampuni ya Smile Communications Tanzania kutangaza upanuzi wa huduma ya mtandao wake wa intaneti ya 4G LTE katika mikoa ya Mbeya, Mwanza, Moshi, Dodoma na Morogoro ikilenga kuleta mapinduzi katika utoaji wa huduma ya internet yenye kasi katika maeneo mengi zaidi nchiniMeneja Mkazi wa Smile Communications Tanzania, Bw. Eric Behner akizungumza kwenye hafla maalumu...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO, KATIKA KITUO CHA KUTUNZIA KUMBUKUMBU CHA TAIFA (NATIONAL INTERNET DATA CENTRE) KIJITOMYAMA.

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Makame Mbarawa, kwa pamoja wakifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kutunzia kumbukumbu cha Taifa (National Internet Data Centre) Kijitonyama, leo Okt 21, 2015.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Makame Mbarawa (kushoto) na Mwakilishi wa Ofisi ya Uchumi na...

 

11 years ago

Mwananchi

Raha na karaha za kusoma nje ya Tanzania

Pamoja na jitihada za Serikali kuboresha elimu nchini, wazazi wengi wanapenda kuwapeleka watoto wao nje ya nchi kusoma wakiamini kuwa huko kuna elimu bora zaidi.

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania’s Internet users hit 9m

The completion of the National ICT Broadband Backbone (NICTBB) and the booming number of mobile phone users has attracted and increased the number of Internet users in Tanzania to nine million.

 

5 years ago

The Citizen Daily

Tanzania: Vodacom internet service down

Tanzania: Vodacom internet service down  The Citizen Daily

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani