Tanzania yaipongeza China kudhibiti biashara meno ya Tembo.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa zote zitokanazo na meno ya Tembo kutoka sehemu yoyote duniani kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa kusema hatua hiyo itasaidia kumaliza mauaji ya wanyama hao.
Uamuzi huo wa China unatokana na ushawishi wa Viongozi wa Afrika chini ya Rais Jakaya Kikwete na mataifa washiriki duniani ya Amerika, Ujerumani, Jumuiya ya Ulaya, Uingereza na Serikali ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 May
Ripoti: Tanzania kinara biashara meno ya tembo
10 years ago
Vijimambo05 Aug
Meno ya Tembo yakamatwa Zurich yakitokea Tanzania kwenda China
Confiscated Ivory displayed at Zurich Airport in Kloten on Tuesday, Aug. 4 , 2015. Swiss authorities say customs officials at Zurich airport have seized 262 kilograms (578 pounds) of ivory that three Chinese men had dispatched from Tanzania. Switzerland's customs authority said Tuesday that the ivory — found during a security check on July 6 and packed in eight suitcases — had an estimated black market value of about 400,000 francs (US $413,000). (Walter Bieri/Keystone via AP)
BERLIN (AP) —...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yGvFjTmg6wA/VnEFuAucydI/AAAAAAABqcI/RN70g2R3B9I/s72-c/YAO%2BMING.jpg)
BEI YA MENO YA TEMBO YAANGUKA NCHINI CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yGvFjTmg6wA/VnEFuAucydI/AAAAAAABqcI/RN70g2R3B9I/s640/YAO%2BMING.jpg)
Taarifa mpya ya utafiti uliofanywa na watafiti Esmond Martin na Lucy Vigne wa shirika la Save the Elephants na kutolewa wiki hii imeainisha kwamba bei za meno ya tembo ghafi nchini China zimeshuka kwa zaidi ya nusu katika kipindi cha miezi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Lindi lamsaka askari Mwenye tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo
![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga alipokuwa Akitoa taarifa kwa waandishi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s72-c/w.jpg)
WAMWANDIKIA BARUA YA WAZI RAIS DKT MAGUFULI ACHUKUE HATUA DHIDI YA UJANGILI WA BIASHARA HARAMU YA MENO YA TEMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s640/w.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s72-c/UNODC.jpg)
UNODC YAIPONGEZA TANZANIA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s400/UNODC.jpg)
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) kupitia kamisheni ya Kimataifa ya Kudhibiti Dawa za Kulevya limeipongeza Tanzania kwa jitihada madhubuti za kudhibiti na kupambana na tatizo la dawa za kulevya.Kwa mujibu wa taarifa inasema, juhudi hizo zimeleta matokeo chanya katika mapambano ya dawa za kulevya duniani katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2018 hadi 2020.Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na...
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Meno ya tembo 81 yakamatwa Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FhAsdhjjsLg/Xm4Vs6doQcI/AAAAAAALjvE/0tS7TaxcqR8_JN7lj3VXWSyRL1nTZZQeACLcBGAsYHQ/s72-c/3994a4b4-879f-4379-a162-022d57653170.jpg)
IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA KIBIASHARA NA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA imepongezwa na Shirika la Fedha duniani (IMF) kutokana na namna ilivyoboresha mazingira ya kibiashara, kudhibiti mfumuko wa bei ambao uko chini ya asilimia tano, ongezeko la mikopo sekta binafsi pamoja na uimara wa kuwa na fedha nyingi za kigeni kulinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Ripoti ya Shirika hilo iliyotolewa Machi mwaka inaeleza kuridhishwa na deni la Taifa ambalo wamelitaja kuwa himilivu na linaifanya Tanzania iendelee kupokea mikopo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYlv9Z3nXF3jwBvVRZTIeDXsbZR27HwEmr2VG64XQCtosSAHVNaI-mOkEM5ZxWRHLfrr4bzgmBRHqjwdeLHsx36o/unnamed1.jpg?width=650)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO