Mfumuko wa bei waongezeka kwa pointi
OFISI ya Taifa ya Takwimu, imesema mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 6.5 hadi 6.7 kati ya Agosti na Julai mwaka huu kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa zisizo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Mfumuko wa bei waongezeka
OFOISI ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula nyumbani na migawani umeongezeka Februari hadi asilimia 6.9 ukilinganishwa na asilimia 6.6 Januari mwaka huu. Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mfumuko wa bei waongezeka nchini
Mfumuko wa bei umeongezeka na kufikia asilimia 6.4 kutoka mwezi uliopita tofauti na ilivyokuwa Juni asilimia 6.1.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nRQoUyLFrPo/VSYFMdSgWnI/AAAAAAAHPpA/_zvdxzRqDEo/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
MFUMUKO WA BEI WATAIFA WAONGEZEKA
Na. Veronica Kazimoto, Takwimu.
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Machi 2015 umeongezeka kidogo hadi kufikia asilimia 4.3 ikilinganishwa na asilimia 4.2 za mwezi Februari kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akitoa taarifa ya mfumuko huo leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa ongezeko hilo linatokana na badiliko la bei ya bidhaa na huduma kati ya mwezi Machi...
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Machi 2015 umeongezeka kidogo hadi kufikia asilimia 4.3 ikilinganishwa na asilimia 4.2 za mwezi Februari kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akitoa taarifa ya mfumuko huo leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa ongezeko hilo linatokana na badiliko la bei ya bidhaa na huduma kati ya mwezi Machi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zEDkpcptZPI/VXW9G3PRJbI/AAAAAAAHdD0/q9PiPUo5CSo/s72-c/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAONGEZEKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEDkpcptZPI/VXW9G3PRJbI/AAAAAAAHdD0/q9PiPUo5CSo/s640/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VeLfz-5UoFs/VXW9GyTZYLI/AAAAAAAHdDs/4qaYWdGpubA/s640/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Mei 2015 umeongezeka hadi kufikia asilimia 5.3 kutoka asilimia 4.5 ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WU701eLUrHY/Vmbescti4uI/AAAAAAAIK-I/qJBBchM1JA8/s72-c/IMG_6942.jpg)
MFUMUKO WA BEI WA NOVEMBA UMEONGEZEKA KWA ASILIMIA 6.6
![](http://2.bp.blogspot.com/-WU701eLUrHY/Vmbescti4uI/AAAAAAAIK-I/qJBBchM1JA8/s640/IMG_6942.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-TsZ1ZW8to/VmbessTM-5I/AAAAAAAIK-M/cN88dQE_Hp8/s640/IMG_6952.jpg)
10 years ago
MichuziMFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAPUNGUA KWA ASILIAMIA 4.8 KWA DESEMBA 2014.
Na Chalila Kibuda na Globu ya Jamii,Dar.
Mfumuko wa bei wa Taifa wa Disemba 2014 ulipungua kwa asilimia 4.8 kutoka asilimia 5.8 Novemba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari leo...
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2
Upungufu  wa chakula kwa baadhi ya mikoa nchini umeendelea kusababisha ongezeko la mfumuko wa bei wa Taifa kutoka asilimia 4.2 hadi asilimia 4.2 ndani ya mwezi mmoja.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FhAsdhjjsLg/Xm4Vs6doQcI/AAAAAAALjvE/0tS7TaxcqR8_JN7lj3VXWSyRL1nTZZQeACLcBGAsYHQ/s72-c/3994a4b4-879f-4379-a162-022d57653170.jpg)
IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA KIBIASHARA NA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA imepongezwa na Shirika la Fedha duniani (IMF) kutokana na namna ilivyoboresha mazingira ya kibiashara, kudhibiti mfumuko wa bei ambao uko chini ya asilimia tano, ongezeko la mikopo sekta binafsi pamoja na uimara wa kuwa na fedha nyingi za kigeni kulinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Ripoti ya Shirika hilo iliyotolewa Machi mwaka inaeleza kuridhishwa na deni la Taifa ambalo wamelitaja kuwa himilivu na linaifanya Tanzania iendelee kupokea mikopo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10