Mfumuko wa bei waongezeka nchini
Mfumuko wa bei umeongezeka na kufikia asilimia 6.4 kutoka mwezi uliopita tofauti na ilivyokuwa Juni asilimia 6.1.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Mfumuko wa bei waongezeka
OFOISI ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula nyumbani na migawani umeongezeka Februari hadi asilimia 6.9 ukilinganishwa na asilimia 6.6 Januari mwaka huu. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nRQoUyLFrPo/VSYFMdSgWnI/AAAAAAAHPpA/_zvdxzRqDEo/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
MFUMUKO WA BEI WATAIFA WAONGEZEKA
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Machi 2015 umeongezeka kidogo hadi kufikia asilimia 4.3 ikilinganishwa na asilimia 4.2 za mwezi Februari kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akitoa taarifa ya mfumuko huo leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa ongezeko hilo linatokana na badiliko la bei ya bidhaa na huduma kati ya mwezi Machi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zEDkpcptZPI/VXW9G3PRJbI/AAAAAAAHdD0/q9PiPUo5CSo/s72-c/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAONGEZEKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEDkpcptZPI/VXW9G3PRJbI/AAAAAAAHdD0/q9PiPUo5CSo/s640/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VeLfz-5UoFs/VXW9GyTZYLI/AAAAAAAHdDs/4qaYWdGpubA/s640/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Mei 2015 umeongezeka hadi kufikia asilimia 5.3 kutoka asilimia 4.5 ya...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Mfumuko wa bei waongezeka kwa pointi
OFISI ya Taifa ya Takwimu, imesema mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 6.5 hadi 6.7 kati ya Agosti na Julai mwaka huu kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa zisizo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--XCHZQkdebo/VDVOUgX_Y4I/AAAAAAAGouo/-OQLKojKOjQ/s72-c/unnamed.jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Septemba 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 6.6 kutoka asilimia 6.7 iliyokuwepo mwezi Agosti kutokana na kupungua kwa bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa bidhaa za vyakula zikiwemo mchele, mahindi, ulezi, matunda, Sukari na vinywaji baridi...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Mfumuko wa bei wapungua nchini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRKEJMtHq7WAdC0BR4gZkMxApMyjISrHAUI9waHULRJ-KcsckL-en4x-wZ9lIuLQe2WtIzsN36BDqd9dtYjbNbY/Takwimu1.jpg?width=750)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAENDELEA KUPUNGUA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avr6*g5w-cFa3Ryd9bVlS2LCophqQugdiUXBhtPDX3F8BgVr*TiqOJ4jJr3QTiQKt7xAWXioWfjXXMi9qU*PSch-/NBS1.jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y5MbNakwFdvULk1Tf*iNS8uDEegw7XcWkNzjk6PQ1Gc4K3N5m03Vw4DDCTqFh6yNzhimcC-yh15Mg6LtqhA71a/NBS1.jpg?width=650)
NBS YATOA TAARIFA YA MFUMUKO WA BEI NCHINI