Marekani yaipongeza Tanzania
MWAKILISHI Maalumu wa Marekani katika Eneo la Maziwa Makuu, Thomas Perriello amempongeza Rais Jakaya Kikwete na Tanzania kuhusu msimamo wake thabiti wa kibinadamu wa kupokea wakimbizi kutoka nchi jirani katika historia yote ya miaka 54 tangu uhuru wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Marekani yaipongeza Burkina Faso
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tanzania yaipongeza ICC kesi ya Kenyatta
SERIKALI ya Tanzania imepongeza uamuzi wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC) wa kufuta kesi iliyokuwa ikiwakabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto. Akizungumza jijini Dar...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lcZ7d7mEkGM/VYuWFe56O4I/AAAAAAAAtCM/oZv2s1RSico/s72-c/Untitledn.png)
Serikali yaipongeza Kampuni ya Huawei Tanzania
Huawei Tanzania inafanya kazi kwa ukaribu sana ni wizara na kwa hivi sasa ni mojawapo ya Mtoa huduma za vifaa vingi vya ujenzi wa jengo jipya la DATA center.
Data center ni mojawapo ya ujenzi mkubwa unaofanywa na wizara ya sayansi na jingo hili litakua na kazi ya kuhifadhi DATA...
10 years ago
Dewji Blog15 Feb
Tanzania yaipongeza China kwa misaada ya kimaendeleo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatafa Bernard Membe akitoa hotuba kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika sherehe ya mwaka mpya wa Kichina jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Na Magreth Kinabo na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatafa Bernard Membe, ameipongeza Serikali Jamhuri ya China kwa msaada wake wa kuhakikisha Tanzania imefungua idara ya maalum...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s72-c/UNODC.jpg)
UNODC YAIPONGEZA TANZANIA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s400/UNODC.jpg)
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) kupitia kamisheni ya Kimataifa ya Kudhibiti Dawa za Kulevya limeipongeza Tanzania kwa jitihada madhubuti za kudhibiti na kupambana na tatizo la dawa za kulevya.Kwa mujibu wa taarifa inasema, juhudi hizo zimeleta matokeo chanya katika mapambano ya dawa za kulevya duniani katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2018 hadi 2020.Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na...
9 years ago
MichuziBASATA YAIPONGEZA KAMATI YA MISS UNIVERSE TANZANIA
Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa mashindano ya Miss Universe Fausta Magoti wakati wa kufanya tathimini ya mashindano ya mwaka jana ambapo, Caroline Benard aliibuka mshindi.
Magoti alisema kuwa pamoja na kampuni ya Compass kuanza kushiriki katika mashindano ya Miss Universe mwaka 2007, waliweza kufanya vyema na kuitangaza Tanzania nje ya mipaka...
10 years ago
StarTV04 Mar
Tanzania yaipongeza China kudhibiti biashara meno ya Tembo.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa zote zitokanazo na meno ya Tembo kutoka sehemu yoyote duniani kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa kusema hatua hiyo itasaidia kumaliza mauaji ya wanyama hao.
Uamuzi huo wa China unatokana na ushawishi wa Viongozi wa Afrika chini ya Rais Jakaya Kikwete na mataifa washiriki duniani ya Amerika, Ujerumani, Jumuiya ya Ulaya, Uingereza na Serikali ya...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/12/IMG_3853.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA UCA-TANZANIA KUWANYANYUA WASANII CHIPUKIZI
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI