Sitta: Nataka nidhamu bungeni
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta amshambulia Kubenea bungeni
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Sitta akoroga mambo bungeni
LICHA ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuruhusu uvunjwaji wa kanuni ili kuruhusu wenyeviti wa Kamati za Bunge kufafanua baadhi ya mambo wakati wa uwasilishaji wa taarifa...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Sitta ‘amkataa’ Warioba bungeni
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0utie74E5r0/U3zsIldKJ9I/AAAAAAAFkRk/le9IibqvnbE/s72-c/1.jpg)
Waziri Sitta kuwasilisha Bajeti kesho Bungeni
![](http://4.bp.blogspot.com/-0utie74E5r0/U3zsIldKJ9I/AAAAAAAFkRk/le9IibqvnbE/s1600/1.jpg)
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza mkakati mpya wa kunusuru mchakato wa Katiba Mpya kwa kuitisha kikao cha wajumbe 27 wa Kamati ya Mashauriano ili kuondoa mpasuko kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wajumbe wengine.
Katika wajumbe hao wamo maaskofu wawili na masheikh wawili ambao Sitta amewateua kutoka katika Bunge la Katiba.
Sitta ameitisha kikao hicho jijini Dar es Salaam Julai 24 wakati kukiwa na matamko tofauti kuhusu mustakabali wa katiba...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E2KFjjTr4AE/U1c7mpw_u2I/AAAAAAAFcac/CX1-_gB86pI/s72-c/unnamed+(54).jpg)
MWENYEKITI SITTA ASEMA MJADALA UNAENDELEA WAKATI MHE EZEKIEL OLUOCH AREJEA BUNGENI AKITANGAZA HANA KUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-E2KFjjTr4AE/U1c7mpw_u2I/AAAAAAAFcac/CX1-_gB86pI/s1600/unnamed+(54).jpg)
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Nataka kulewa