Sitta ‘amkataa’ Warioba bungeni
Jaribio la kutaka kumrejesha bungeni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ili ajibu masuala yaliyoibuliwa na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake ya kufungua Bunge limegonga mwamba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania29 Aug
Sitta amjibu Warioba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA ESTHER MBUSSI, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepinga madai ya Bunge hilo kuchukuliwa kama la mazuzu na baadhi ya watu kulishusha hadhi kwa kulifananisha na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Amesema Bunge hilo lina mamlaka zaidi kuliko tume hiyo, ndiyo maana linafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013.
Sitta alisema hayo jana na...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
‘Minofu ya Warioba’ iliyonyofolewa na Sitta
PAMOJA na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum, Andrew Chenge kusema kuwa asilimia 75 ya katiba inayopendekezwa imebeba maudhui ya Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Tanzania...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Jaji Warioba: Namshangaa Sitta
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDIrAxgW4w2OBa4jImKRf5sxe7HZ6W915Sb84S1s2wLZXk5W*QIF5YTsAbbnNCOEbkKlophiXwvfRKJoYaSoWix-/warioba.jpg)
WANANCHI WAWASUBIRI WARIOBA, SITTA MTAANI
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Sitta azidi kuinanga rasimu ya Jaji Warioba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameendelea kusisitiza kuwa rasimu ya Katiba mpya iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba imejaa kasoro.
Kutokana na hali hiyo, amesema Bunge Maalumu la Katiba limelazimika kuiboresha kwa kuwa kila kitu kinachoandikwa na binadamu hakiwezi kuwa sahihi.
Sitta alitoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akipokea...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Warioba kutohojiwa bungeni
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni
PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta amshambulia Kubenea bungeni
11 years ago
Habarileo15 Mar
Sitta: Nataka nidhamu bungeni
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.