Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WAWASUBIRI WARIOBA, SITTA MTAANI

Stori: Ojuku Abraham
BAADA ya kutokea malumbano kati ya Mwenyekiti wa Tume Maalum ya Kukusanya Maoni ya wananchi juu ya mchakato wa Katiba mpya, Jaji Joseph Warioba na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Samuel Sitta, wananchi waliohojiwa wamesema wanawasubiri kwa hamu wanasiasa hao mitaani ili kuwasikiliza maneno yao. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Samuel Sitta. Mara baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Warioba: Tutakutana mtaani

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilikoya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametabiri kampeni za uchaguzi mkuu ujao kutawaliwa na ajenda ya Katiba mpya ambayo kwa mujibu wake, inaweza kugawa nchi. Jaji Warioba ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu, ameeleza wasiwasi wa rasimu inayopendekezwa kwamba haitapigiwa kura mwaka 2016 badala yake, mchakato wa katiba utaanza upya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Karibu mtaani Samuel Sitta

NAPENDA kuchukua fursa hii kukukaribisha mtaani mzee wangu, Samuel Sitta, baada ya kazi nzito ya kuliongoza Bunge Maalum la Katiba. Hakuna asiyejua uzito wa kazi mliyokuwa mkiifanya pale bungeni maana...

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta amjibu Warioba

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA ESTHER MBUSSI, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepinga madai ya Bunge hilo kuchukuliwa kama la mazuzu na baadhi ya watu kulishusha hadhi kwa kulifananisha na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Amesema Bunge hilo lina mamlaka zaidi kuliko tume hiyo, ndiyo maana linafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013.

Sitta alisema hayo jana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta ‘amkataa’ Warioba bungeni

Jaribio la kutaka kumrejesha bungeni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ili ajibu masuala yaliyoibuliwa na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake ya kufungua Bunge limegonga mwamba.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba: Namshangaa Sitta

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema anashangazwa na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kung’ang’ania kuendelea na Bunge hilo licha ya Rais Jakaya Kikwete kuridhia lifikie kikomo Oktoba 4 mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Minofu ya Warioba’ iliyonyofolewa na Sitta

PAMOJA na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum, Andrew Chenge kusema kuwa asilimia 75 ya katiba inayopendekezwa imebeba maudhui ya Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Tanzania...

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta azidi kuinanga rasimu ya Jaji Warioba

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameendelea kusisitiza kuwa rasimu ya Katiba mpya iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba imejaa kasoro.

Kutokana na hali hiyo, amesema Bunge Maalumu la Katiba limelazimika kuiboresha kwa kuwa kila kitu kinachoandikwa na binadamu hakiwezi kuwa sahihi.

Sitta alitoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akipokea...

 

10 years ago

Michuzi

M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI

Baadhi ya Mabalozi wa Vodacom Tanzania wanaoenda kutoa elimu kwa wateja wa kampuni hiyo na wananchi kwa ujumla kuhusiana na huduma ya M-Pawa wakimsikiliza Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa kampuni hiyo,Kelvin Twissa wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘M-Pawa Tumekufikia’ yenye lengo la kuwaelimisha wateja wake nchi nzima kuhusiana na manufaa ya huduma ya M Pawa inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo nafuu kwa urahisi zaidi.Uzinduzi huo ulifanyika makao makuu ya kampuni hiyo...

 

10 years ago

GPL

M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI‏

Baadhi ya Mabalozi wa Vodacom Tanzania wanaoenda kutoa elimu kwa wateja wa kampuni hiyo na wananchi kwa ujumla kuhusiana na huduma ya M-Pawa wakimsikiliza Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa kampuni hiyo, Kelvin Twissa wakati wa uzinduzi wa kampeni  ya ‘M-Pawa Tumekufikia’ yenye lengo la kuwaelimisha wateja wake nchi nzima  kuhusiana na manufaa ya huduma ya M Pawa inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani