Warioba: Tutakutana mtaani
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilikoya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametabiri kampeni za uchaguzi mkuu ujao kutawaliwa na ajenda ya Katiba mpya ambayo kwa mujibu wake, inaweza kugawa nchi. Jaji Warioba ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu, ameeleza wasiwasi wa rasimu inayopendekezwa kwamba haitapigiwa kura mwaka 2016 badala yake, mchakato wa katiba utaanza upya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDIrAxgW4w2OBa4jImKRf5sxe7HZ6W915Sb84S1s2wLZXk5W*QIF5YTsAbbnNCOEbkKlophiXwvfRKJoYaSoWix-/warioba.jpg)
WANANCHI WAWASUBIRI WARIOBA, SITTA MTAANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s320/unnamed.jpg)
Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj5l-WSI6eA/VgFSUm3kmGI/AAAAAAAAn6Y/SduVxz1S-9c/s640/2.jpg)
10 years ago
GPLGPL MTAANI
10 years ago
GPL10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qP5ptH6q6vU/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Kikwete aingia mtaani
*Afanya ‘shopping’ Mlimani City
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KWA mara ya kwanza tangu aondoke madarakani mwanzoni mwa mwezi huu, jana Rais Jakaya Kikwete alionekana akifanya manunuzi katika maduka yaliyopo jengo la Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Kikwete, ambaye alikuwa amevalia suti maarufu kama ‘kaunda suti’ yenye rangi nyeusi, alionekana akiingia katika viunga vya Mlimani City saa 5:00.
MTANZANIA Jumamosi ambalo lilikuwepo katika viunga hivyo vya Mlimani City lilishuhudia Kikwete...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO0ODttAyjpWC1FGfXp1qWLxQSnBFUhv7LLv9zgMjvcZ7B6wRe8aYrVCHK0lOtKhmVydNKKrWUK2x3ugnWrwQ9XL/CHEKANAKITIME1.jpg)
MTAANI KWETU KIMENUKA!