Kikwete aingia mtaani
*Afanya ‘shopping’ Mlimani City
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KWA mara ya kwanza tangu aondoke madarakani mwanzoni mwa mwezi huu, jana Rais Jakaya Kikwete alionekana akifanya manunuzi katika maduka yaliyopo jengo la Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Kikwete, ambaye alikuwa amevalia suti maarufu kama ‘kaunda suti’ yenye rangi nyeusi, alionekana akiingia katika viunga vya Mlimani City saa 5:00.
MTANZANIA Jumamosi ambalo lilikuwepo katika viunga hivyo vya Mlimani City lilishuhudia Kikwete...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMR. UWAZI AINGIA MTAANI KWA MBWEMBWE NA KUGAWA ZAWADI
9 years ago
Bongo509 Dec
Siku ya Uhuru: Magufuli ni kama sisi tu, aingia mtaani kusafisha mazingira (Picha)
![12345749_1070297212994241_164260733_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12345749_1070297212994241_164260733_n-300x194.jpg)
Rais Dkt John Magufuli hana tofauti na sisi wananchi wa kawaida.
Rais Dkt Magufuli akishiriki kwenye zoezi la kufanya usafi nchi nzima kuadhimisha miaka 54 tangu uhuru wa Tanganyika
Katika kusherehekea siku ya Uhuru, Magufuli na mke wake Mama Janeth wameunga na wananchi nchini kote kusafisha mazingira.
Hapa Usafi Tu
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kutangaza kuondoa sherehe za kitaifa za Uhuru zilizooleka kufanyika kila mwaka na badala yake siku hii itumike kufanya usafi ili...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Karibu mtaani Rais Kikwete
NIMEFARIJIKA sana kumsikia Rais Jakaya Kikwete, akiweka wazi kuwa anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo na kucheza na wajukuu zake. Ingawa sijajua kwanini...
10 years ago
Michuzi21 Feb
KUSHEHEREKEA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM MGENI RASMI RIDHIWANI KIKWETE AINGIA NEW YORK
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7ZAOUR3xrKE/U8LDc8TGxII/AAAAAAAClUw/6jGQJf6davw/s72-c/D92A9977.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA WAKATIZA MTAANI NA KUNUNUA NG'ONDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7ZAOUR3xrKE/U8LDc8TGxII/AAAAAAAClUw/6jGQJf6davw/s320/D92A9977.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zXeCEySeun0/U8LDY8AipMI/AAAAAAAClUk/Tkefd-SDwYc/s320/D92A9982.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1tP0Too_sIk/U8LDXm9Bi2I/AAAAAAAClUg/ie_YnUA7YlI/s320/D92A9983.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Makonda aingia matatani
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Kocha Etoile aingia mitini
NA ONESMO KAPINGA
KOCHA Mkuu wa Etoile du Sahel ya Tunisia, Faouzi Benzarti, ameingia mitini baada ya kushindwa kutokea katika mkutano wa makocha na waandishi wa habari ulioandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Benzarti alishindwa kuhudhuria mkutano huo kwa madai walichoka baada ya kuwa angani kwa saa tisa wakitokea Tunisia ambapo waliwasili Dar es Salaam jana alfajiri.
Kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6kjRz25BEEC2ftQ7Eb*nEAPGFj3L3JLxvHpGsbW9vfWaOkL1GGIsqRsyzuKuiWIRv-LV70FYA134N9uh4ZEarD/kochayanga.jpg?width=650)
Logarusic aingia rada za Yanga
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Zitto aingia na wanachama 12 ACT