Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete aingia mtaani

MTZ jmosi new july.indd*Afanya ‘shopping’ Mlimani City

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KWA mara ya kwanza tangu aondoke madarakani mwanzoni mwa mwezi huu, jana Rais Jakaya Kikwete alionekana akifanya manunuzi katika maduka yaliyopo jengo la Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Kikwete, ambaye alikuwa amevalia suti maarufu kama ‘kaunda suti’ yenye rangi nyeusi, alionekana akiingia katika viunga vya Mlimani City saa 5:00.

MTANZANIA Jumamosi ambalo lilikuwepo katika viunga hivyo vya Mlimani City lilishuhudia Kikwete...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MR. UWAZI AINGIA MTAANI KWA MBWEMBWE NA KUGAWA ZAWADI

Mr. Uwazi akijiandaa kumpatia zawadi msomaji wa gazeti la Uwazi eneo la Segerea.  …

 

9 years ago

Bongo5

Siku ya Uhuru: Magufuli ni kama sisi tu, aingia mtaani kusafisha mazingira (Picha)

12345749_1070297212994241_164260733_n

Rais Dkt John Magufuli hana tofauti na sisi wananchi wa kawaida.

12345749_1070297212994241_164260733_n
Rais Dkt Magufuli akishiriki kwenye zoezi la kufanya usafi nchi nzima kuadhimisha miaka 54 tangu uhuru wa Tanganyika

Katika kusherehekea siku ya Uhuru, Magufuli na mke wake Mama Janeth wameunga na wananchi nchini kote kusafisha mazingira.

12298956_930258853735557_1202470643_n
Hapa Usafi Tu

Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kutangaza kuondoa sherehe za kitaifa za Uhuru zilizooleka kufanyika kila mwaka na badala yake siku hii itumike kufanya usafi ili...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Karibu mtaani Rais Kikwete

NIMEFARIJIKA sana kumsikia Rais Jakaya Kikwete, akiweka wazi kuwa anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo na kucheza na wajukuu zake. Ingawa sijajua kwanini...

 

10 years ago

Michuzi

KUSHEHEREKEA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM MGENI RASMI RIDHIWANI KIKWETE AINGIA NEW YORK

TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50SEATED 3 -COURSE DINNERFIRST CLASS SERVICERED CARPET PAPARAZZI DRESS READY FOR ACTIONHIGH LEVEL SECURITY @RICH RICH PALACE11019 ATLANTIC AVENUE RICHMOND HILL NY 11418**********************************************************PESA UNAYONUNULIA TICKET UNAPATA CHAKULA NA SOFT DRINKS KAZI KWAKO WAHI TICKET YAKO MAPEMA KWA $40 KWANI MLANGONI SIKU YA SHEREHE NI $ 50.MH. Ridhiwani Kikwete akiwa na wenyeji wake viongozi wa Tawi la CCM...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA WAKATIZA MTAANI NA KUNUNUA NG'ONDA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakinunua samaki katika kibanda huko Bweni Wilaya ya Pangani juzi wakati Rais alipokwenda kuzindua mradi wa maji na kuweka jiwe la msingi kwaajili ya ujenzi wa maabara shuke ya sekondari Kipumbwi.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Mwananchi

Makonda aingia matatani

Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahya Khamis Hamad amesema amepokea barua ya malalamiko ya mjumbe Ezekiel Oluoch dhidi ya mjumbe mwenzake, Paul Makonda kwamba alisema uongo juu yake.

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Etoile aingia mitini

faouzibenzartiNA ONESMO KAPINGA

KOCHA Mkuu wa Etoile du Sahel ya Tunisia, Faouzi Benzarti, ameingia mitini baada ya kushindwa kutokea katika mkutano wa makocha na waandishi wa habari ulioandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Benzarti alishindwa kuhudhuria mkutano huo kwa madai walichoka baada ya kuwa angani kwa saa tisa wakitokea Tunisia ambapo waliwasili Dar es Salaam jana alfajiri.

Kwa...

 

11 years ago

GPL

Logarusic aingia rada za Yanga

Kocha Zdravko Logarusic wa Simba. Na Mwandishi Wetu
YANGA imemjumuisha Kocha Zdravko Logarusic wa Simba katika idadi ya makocha inaowataka.
Habari za uhakika zimeeleza Yanga imemjadili kocha huyo na huenda ikafanya naye mazungumzo ili asitishe mkataba wake wa miezi sita Simba na kutua Jangwani. Ingawa viongozi wa Yanga wamekuwa wagumu kulizungumzia suala la kocha mpya baada ya kumtema Ernie Brandts, lakini Logarusic ni kati...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto aingia na wanachama 12 ACT

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana alitaja sababu tano za kujiunga na chama cha ACT-Tanzania huku akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi asiyeyumbishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani