Zitto aingia na wanachama 12 ACT
Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana alitaja sababu tano za kujiunga na chama cha ACT-Tanzania huku akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi asiyeyumbishwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Oct
Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-PQ3cCBhtNUE/VCwNv30XPoI/AAAAAAADEsg/fLSGWFewAGQ/s1600/01.aa4.jpg)
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
ACT yavuna wanachama wapya 6,000
Bariadi. Chama cha ACT-Wazalendo kimehitimisha ziara katika mikoa 10 nchini huku kikijigamba kuingiza wanachama wapya zaidi ya 6,000.
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Wanachama CCM watimkia ACT- Wazalendo
Zaidi ya wanachama 100 kutoka CCM, Kata ya Chihanga, Manispaa ya Dodoma wamejiunga na ACT- Wazalendo.
10 years ago
Mwananchi13 Apr
‘Marufuku wanachama wa ACT - Wazalendo kushabikia Ukawa’
Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kila mwanachama anapaswa kuwaunga mkono wagombea watakaopitishwa na chama hicho katika nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwani kinyume chake ni kukisaliti na adhabu yake ni kufukuzwa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L0vo7-YdQQJYspm7mjXRF8*IwqwnoiV1d5B61VTj7lLK2LEOO9T8LxW-HqPe*UA9s8GGYnacNKoOcMyTKat4tZGYNNRPdMSy/cdm3.jpg?width=650)
MPASUKO MKUBWA CHADEMA LUDEWA, WANACHAMA WAKE WAHAMIA ACT
Baadhi ya wanachama wa Chadema wilayani Ludewa wakiwa na mabango wakati wa maanadamano leo. WANACHAMA zaidi ya 500 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilayani Ludewa Mkoani Njombe wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT Wazalendo wakipinga hatua ya uongozi wa juu wa chama hicho kukata jina la mshindi wa kwanza wa kura za maoni Bw. Ocol Haule na kumteua aliyekuwa mshindi… ...
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Zitto will be my PM, says ACT candidate
Candidate says government has failed to reciprocate Kigoma people’s generosity
9 years ago
Wazalendo To Get Meaningful Development.08 Sep
Zitto: Vote for ACT
IPPmedia
IPPmedia
Leader of ACT-Wazalendo Zitto Kabwe has called on Kigoma residents to vote for candidates from the party if they are to get meaningful development. Zitto, who vies for the Kigoma urban parliamentary seat on the party's ticket, said it was through it ...
10 years ago
TheCitizen20 Apr
Why Zitto’s ACT is likely to be a threat
Dar es Salaam. The new entrant to the Tanzania’s political arena, Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), is set to pose a serious threat to major political players in the country, analysts have said.
10 years ago
TheCitizen27 Jul
Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says
Dar es Salaam. Opposition ACT-Wazalendo yesterday declared it will go into the October General Election alone, thus ending any chance that the party will join the coalition Ukawa that brings together other main opposition parties.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania