Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Why Zitto’s ACT is likely to be a threat

Dar es Salaam. The new entrant to the Tanzania’s political arena, Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), is set to pose a serious threat to major political players in the country, analysts have said.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY. --Ndugu wanahabari kumekuwa na utaratibu wa habari zinazoupotosha umma wa watanzania kuhusu chama chetu cha ACT-Tanzania.
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...

 

9 years ago

TheCitizen

Zitto will be my PM, says ACT candidate

Candidate says government has failed to reciprocate Kigoma people’s generosity

 

9 years ago

Wazalendo To Get Meaningful Development.

Zitto: Vote for ACT


IPPmedia
Zitto: Vote for ACT-Wazalendo to get meaningful development.
IPPmedia
Leader of ACT-Wazalendo Zitto Kabwe has called on Kigoma residents to vote for candidates from the party if they are to get meaningful development. Zitto, who vies for the Kigoma urban parliamentary seat on the party's ticket, said it was through it ...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto aingia na wanachama 12 ACT

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana alitaja sababu tano za kujiunga na chama cha ACT-Tanzania huku akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi asiyeyumbishwa.

 

10 years ago

TheCitizen

Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says

Dar es Salaam. Opposition ACT-Wazalendo yesterday declared it will go into the October General Election alone, thus ending any chance that the party will join the coalition Ukawa that brings together other main opposition parties.

 

10 years ago

TheCitizen

Zitto: Here’s why I chose to join ACT

>Former Kigoma North MP and Chadema Deputy Secretary General Zitto Kabwe, yesterday explained why he joined the newly established Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania).

 

10 years ago

Habarileo

Zitto atua ACT na wabunge 10

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe ZittoALIYEKUWA Mbunge wa Kaskazini, Zitto Kabwe amejiunga rasmi na chama cha siasa cha ACT, huku akisema ana kundi kubwa la watu watakaomfuata, wakiwemo wabunge 10 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

 

10 years ago

Daily News

Zitto formally joins ACT


IPPmedia
Zitto formally joins ACT
Daily News
IT is now official. Former Kigoma North MP, Mr Kabwe Zuberi Zitto on Sunday announced to have joined the Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), a new political party he has been linked with after he fell out with Chadema. The move comes ...
Bunge calls for improved Disaster BillIPPmedia

all 9

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo

Zitto Kabwe-ACT Leader3Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani