Karibu mtaani Rais Kikwete
NIMEFARIJIKA sana kumsikia Rais Jakaya Kikwete, akiweka wazi kuwa anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo na kucheza na wajukuu zake. Ingawa sijajua kwanini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Karibu mtaani Samuel Sitta
NAPENDA kuchukua fursa hii kukukaribisha mtaani mzee wangu, Samuel Sitta, baada ya kazi nzito ya kuliongoza Bunge Maalum la Katiba. Hakuna asiyejua uzito wa kazi mliyokuwa mkiifanya pale bungeni maana...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7ZAOUR3xrKE/U8LDc8TGxII/AAAAAAAClUw/6jGQJf6davw/s72-c/D92A9977.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA WAKATIZA MTAANI NA KUNUNUA NG'ONDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7ZAOUR3xrKE/U8LDc8TGxII/AAAAAAAClUw/6jGQJf6davw/s320/D92A9977.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zXeCEySeun0/U8LDY8AipMI/AAAAAAAClUk/Tkefd-SDwYc/s320/D92A9982.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1tP0Too_sIk/U8LDXm9Bi2I/AAAAAAAClUg/ie_YnUA7YlI/s320/D92A9983.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Kikwete aingia mtaani
*Afanya ‘shopping’ Mlimani City
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KWA mara ya kwanza tangu aondoke madarakani mwanzoni mwa mwezi huu, jana Rais Jakaya Kikwete alionekana akifanya manunuzi katika maduka yaliyopo jengo la Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Kikwete, ambaye alikuwa amevalia suti maarufu kama ‘kaunda suti’ yenye rangi nyeusi, alionekana akiingia katika viunga vya Mlimani City saa 5:00.
MTANZANIA Jumamosi ambalo lilikuwepo katika viunga hivyo vya Mlimani City lilishuhudia Kikwete...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Kwaheri Kikwete, karibu Dk Magufuli
11 years ago
Habarileo15 Dec
Mama Kikwete ataka jamii kuwa karibu na yatima
JAMII ina jukumu la kuwatetea, kuwalinda na kuwasemea watoto yatima ambao ni hazina ya Taifa.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)