Siku ya Uhuru: Magufuli ni kama sisi tu, aingia mtaani kusafisha mazingira (Picha)
Rais Dkt John Magufuli hana tofauti na sisi wananchi wa kawaida.
Rais Dkt Magufuli akishiriki kwenye zoezi la kufanya usafi nchi nzima kuadhimisha miaka 54 tangu uhuru wa Tanganyika
Katika kusherehekea siku ya Uhuru, Magufuli na mke wake Mama Janeth wameunga na wananchi nchini kote kusafisha mazingira.
Hapa Usafi Tu
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kutangaza kuondoa sherehe za kitaifa za Uhuru zilizooleka kufanyika kila mwaka na badala yake siku hii itumike kufanya usafi ili...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s72-c/PICT%2B1.jpg)
Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s640/PICT%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ChLWGU5C00/VmkdQ6lhWvI/AAAAAAAILUA/qCqtFoEBANU/s640/PICT%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hsvWf774w14/VmkdRJbbAeI/AAAAAAAILUI/V2Ar_9G480g/s640/PICT%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GGtpUQ8JsXw/VmkdSo0z_tI/AAAAAAAILUY/085WMn6DFMc/s640/PICT%2B4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s640/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xrK53gink_g/VXWPKmW9r1I/AAAAAAAC5yk/a1aiLZ-uZqs/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Kikwete aingia mtaani
*Afanya ‘shopping’ Mlimani City
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KWA mara ya kwanza tangu aondoke madarakani mwanzoni mwa mwezi huu, jana Rais Jakaya Kikwete alionekana akifanya manunuzi katika maduka yaliyopo jengo la Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Kikwete, ambaye alikuwa amevalia suti maarufu kama ‘kaunda suti’ yenye rangi nyeusi, alionekana akiingia katika viunga vya Mlimani City saa 5:00.
MTANZANIA Jumamosi ambalo lilikuwepo katika viunga hivyo vya Mlimani City lilishuhudia Kikwete...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-I/4NDLGYREfv0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
BREAKING NYUZZZZ....: RAIS MAGUFULI ATANGAZA SIKU YA UHURU KUWA SIKU YA KUFANYA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-I/4NDLGYREfv0/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Kwamba maadhimisho ya Uhuru ya mwaka huu (2015) yatatumika kama kichocheo cha kujenga tabia ya kufanya kazi...
10 years ago
GPLMR. UWAZI AINGIA MTAANI KWA MBWEMBWE NA KUGAWA ZAWADI
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UbhF3YILPdQ/VmflLuX_YgI/AAAAAAACmqo/gtxDL-dFkLc/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI NA WANANCHI WA ENEO LAKE KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA, MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-UbhF3YILPdQ/VmflLuX_YgI/AAAAAAACmqo/gtxDL-dFkLc/s640/6.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishiriki kuzoa taka na baadhi ya wananchi wakazi wa eneo lake la Oysterbay- Karume Raod, wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yzr49bVVyqg/VmflMIPfw3I/AAAAAAACmqs/j_0tXVT_yzw/s640/7.jpg)
9 years ago
MichuziMATEMBEZI MOSHI — DAR YA KUSAFISHA MAZINGIRA
9 years ago
Bongo530 Dec
Meek Mill kufanya alichokifanya Magufuli siku ya Uhuru
![Meek-Mill-Debuts-Two-New-Songs-on-Hip-Hop-Chart-FDRMX](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Meek-Mill-Debuts-Two-New-Songs-on-Hip-Hop-Chart-FDRMX-300x194.jpg)
Meek Mill ameamriwa kufanya kazi za jamii kama vile kusafisha barabara na kazi zingine siku ya mkesha wa mwaka mpya.
Kutokana na amri hiyo, Meek atakosa show aliyokuwa afanye na mpenzi wake Nicki Minaj jijini Las Vegas. Tayari ametolewa kwenye matangazo ya show hiyo.
Mapema mwezi huu, Meek Mill alipatikana na hatia ya kukiuka masharti ya probation yaliyotokana na kesi yake ya mwaka 2008 ya kumiliki bunduki.
Ameamriwa kubakia Philadelphia hadi February 5 itakaposomwa hukumu yake.
Jiunge na...