MATEMBEZI MOSHI — DAR YA KUSAFISHA MAZINGIRA
Kiongozi wa msafara wa wanamazingira waliotembea kwa miguu wakiokota taka za plastiki pembezoni mwa barabara kutoka Moshi mkoani Kilimanjaro na kuja jijini Dar es Salaam, Felix Garbe (kushoto) akimkabidhi ufagio Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ubungo Kibo Dar es Salaam, Sophia Yusuf ikiwa ni ishara ya kuhamasisha wakazi wa Dar es salaam kuchukua jukumu la kutunza mazingira. Tukio hilo lilifanyika baada ya wanamazingira hao kuwasili jijini Dar es Salaam baada ya safari iliyowachukua muda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-asOd53DuNmM/VEU-BCszuCI/AAAAAAAGsE4/IwGjtZ7cVRo/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mil.25 zatumika kila mwaka kusafisha mazingira mbuga ya Mikumi
![](http://1.bp.blogspot.com/-asOd53DuNmM/VEU-BCszuCI/AAAAAAAGsE4/IwGjtZ7cVRo/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MMhoKEnPxqc/VEU-BBPK4MI/AAAAAAAGsE0/n7pMMtotVdY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
KIASI cha sh milioni 25 hutumika kila mwaka katika hifadhi ya Taifa ya Mikumi iliYopo wilayani Kilosa mkoani Morogoro kwa ajili ya shughuli za usafi wa mazingira na kuhudumia wanyama wanaogongwa katika barabara kuu iendayo Iringa na Morogoro inayopita...
9 years ago
StarTV19 Nov
 Wakazi Njombe waaswa kusafisha mazingira ili kuepuka  Magonjwa Ya Mlipuko
Wakazi wa mkoa wa Njombe wamehimizwa kuhakikisha wanalinda mazingira kwa kufanya usafi katika makazi yao ili kujihadhari na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.
Ni rai ya mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira ambayo yamefanyika kitaifa mkoani Njombe.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Nchimbi amesema mkoa umepata sifa kubwa ya kuwa mwenyeji wa wiki ya maadhimishio hayo na kwamba iwe fursa wakazi hao kujifunza kuwa kielelezo cha usafi wa...
9 years ago
Bongo509 Dec
Siku ya Uhuru: Magufuli ni kama sisi tu, aingia mtaani kusafisha mazingira (Picha)
![12345749_1070297212994241_164260733_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12345749_1070297212994241_164260733_n-300x194.jpg)
Rais Dkt John Magufuli hana tofauti na sisi wananchi wa kawaida.
Rais Dkt Magufuli akishiriki kwenye zoezi la kufanya usafi nchi nzima kuadhimisha miaka 54 tangu uhuru wa Tanganyika
Katika kusherehekea siku ya Uhuru, Magufuli na mke wake Mama Janeth wameunga na wananchi nchini kote kusafisha mazingira.
Hapa Usafi Tu
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kutangaza kuondoa sherehe za kitaifa za Uhuru zilizooleka kufanyika kila mwaka na badala yake siku hii itumike kufanya usafi ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MYVMPXToyPo/XosF3lO9mjI/AAAAAAALmKA/WwY_1xFKCfM5Vrd_7EuBqxuf8hbS769MQCLcBGAsYHQ/s72-c/8ba0de48-9951-4996-88cf-d4ed5b2c2a4c.jpg)
RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU.
RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.
Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s640/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xrK53gink_g/VXWPKmW9r1I/AAAAAAAC5yk/a1aiLZ-uZqs/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Mar
MAKALA MAALUM MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MOSHI(MUWSA)
11 years ago
Michuzimnuso wa wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi
10 years ago
MichuziWANAHABARI KILIMANJARO WATEMBELEA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MOSHI(MUWSA)
Kwa picha zaidi...
10 years ago
Michuzi16 Jan
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YATEKELEZA MIRADI YAKE
Video ya Makala haya imeandaliwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.