RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU.
![](https://1.bp.blogspot.com/-MYVMPXToyPo/XosF3lO9mjI/AAAAAAALmKA/WwY_1xFKCfM5Vrd_7EuBqxuf8hbS769MQCLcBGAsYHQ/s72-c/8ba0de48-9951-4996-88cf-d4ed5b2c2a4c.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema zoezi la kuwakamata wazururaji katika mkoa huo limeanza rasmi leo ambapo wazururaji watakaokamatwa watapewa adhabu mbalimbali ikiwemo Kusafisha mitaro, Kusafisha barabara, kufyeka nyasi na kulima bustani.
RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.
Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Kwa kuwa tuna mkao wa kula badala ya msimamo,mwisho mikono yote itamega matonge ya ugali wetu pamoja
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
GPLMAHABUSU YA WATOTO YAPATA MSAADA WA KIFAA CHA KUSAFISHA MAJI SAFI NA SALAMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vK-RlOM7S2U/XoSGNltLRTI/AAAAAAALlyM/N3Icm0e6-9c_f5iONVKgKusIUPbGrySHQCLcBGAsYHQ/s72-c/TITO%2BMAGOTI.jpg)
OFISA LHRC ANAYESHTAKIWA KWA UTAKATISHAJI FEDHA ASEMA VIRUSI VYA CORONA VIMESABABISHA MAHABUSU KUISHI KWA HOFU KUBWA MAGEREZANI
Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MSHTAKIWA Tito Magoti ambaye ni Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amedai licha ya Serikali kupunguza msongamano wa watu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona, mahabusu wanaishi kwa hofu kubwa kutokana na mlundikano uliopo huko gerezani.
Magoti anashtakiwa pamoja na Theodory Giyani (36) ambaye ni mtaalamu wa Tehama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s640/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xrK53gink_g/VXWPKmW9r1I/AAAAAAAC5yk/a1aiLZ-uZqs/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
9 years ago
MichuziMATEMBEZI MOSHI — DAR YA KUSAFISHA MAZINGIRA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ynIlfRuxE34/XoYYWrorazI/AAAAAAALl4E/OF2q6wiu_dU76NY_yE7EljluvhUci3llwCLcBGAsYHQ/s72-c/0c0c8bc5-341a-45c0-9cef-274ee20bd8e0.jpg)
BALOZI SEIF: KUKAA KARANTINI SIO ADHABU
![](https://1.bp.blogspot.com/-ynIlfRuxE34/XoYYWrorazI/AAAAAAALl4E/OF2q6wiu_dU76NY_yE7EljluvhUci3llwCLcBGAsYHQ/s640/0c0c8bc5-341a-45c0-9cef-274ee20bd8e0.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi ametoa tahadhari hiyo huko Nyumbani Kwake Mtaa wa Kama Kaskazini Kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akitoa Taarifa kwa Umma baada ya kumaliza muda...