BALOZI SEIF: KUKAA KARANTINI SIO ADHABU
![](https://1.bp.blogspot.com/-ynIlfRuxE34/XoYYWrorazI/AAAAAAALl4E/OF2q6wiu_dU76NY_yE7EljluvhUci3llwCLcBGAsYHQ/s72-c/0c0c8bc5-341a-45c0-9cef-274ee20bd8e0.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewatahadharisha Wananchi kuzingatia kwamba Karantini wanaowekewa Watu walioingia Nchini kutoka Nje ya Nchi sio adhabu bali ni utaratibu unaozingatia Muongozo wa Wataalamu wa Afya katika mapambano dhidi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha Mafua na Homa Kali ya Mapafu.
Balozi Seif Ali Iddi ametoa tahadhari hiyo huko Nyumbani Kwake Mtaa wa Kama Kaskazini Kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akitoa Taarifa kwa Umma baada ya kumaliza muda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziAbiria wanaotoka mikoa iliyoathirika kukaa Karantini Rukwa, wananchi wakitakiwa kuvaa barakoa
KATIKA harakati za kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID – 19) Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo ametoa maelekezo kwa wananchi wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanavaa barakoa wanapokuwa katika mikusanyiko pamoja na maeneo yao ya kibiashara hasa kwa wale wanaohusika na kutoa huduma kwa jamii huku akivitaka vyombo husika kuhakikisha abiria wote wanaotoka katika maeneo yaliyoathirika ndani ya nchi kuingia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RWdM-vthukY/XqwJT-AGyOI/AAAAAAALow8/pQfpxGnJ9F4J5W29i2qQDPPzDpwiRl0PgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe%252Bpic.jpg)
CHADEMA YAAMUA KUZUIA WABUNGE WAKE KUSHIRIKI VIKAO VYA BUNGE LA BAJETI,KUKAA KARANTINI KWA SIKU 14 KUKABILI CORONA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA)kimewataka Wabung wake wote kutohudhuria vikao vya Bunge la Bajeti pamoja na kuhudhuria vikao vya Kamati za Bunge.
Pia Chama hicho kimewataka wabunge wake kujiweka karantini kwa muda usiopungua siku14 kama hatua ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Taarifa ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambayo ameitoa leo Mei 1,2020 kwa vyombo vya habari amesema ni wakati wa kila mmoja wao kuchukua hatua za kijikinga na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MYVMPXToyPo/XosF3lO9mjI/AAAAAAALmKA/WwY_1xFKCfM5Vrd_7EuBqxuf8hbS769MQCLcBGAsYHQ/s72-c/8ba0de48-9951-4996-88cf-d4ed5b2c2a4c.jpg)
RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU.
RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.
Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s1600/unnamed+(47).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-l4b7dGyQxJA/VSVTwTq6i2I/AAAAAAABrN4/8Bv-Kc2B78Y/s72-c/386.jpg)
Balozi Mdogo wa India Afika Ofisini kwa Balozi Seif Kujitambulisha.
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4b7dGyQxJA/VSVTwTq6i2I/AAAAAAABrN4/8Bv-Kc2B78Y/s640/386.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l3UjNGLlAYc/VSVTzajWrGI/AAAAAAABrOA/iJrr06I0bNs/s640/405.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jw9LJJlV3v0/VSVT1_dQ71I/AAAAAAABrOI/AgZzFmukf8g/s640/413.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aavl8aH7AA0/VSVT4BwK5_I/AAAAAAABrOQ/4GenpLuTqrU/s640/417.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-MAMZ13uD-8Y/VfPA97rFGXI/AAAAAAABHc4/e-jUsQeTS5M/s72-c/400.jpg)
BALOZI SEIF AZUNGUMZA NA BALOZI MPYA WA INDIA NCHINI, SANDEEP ARYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-MAMZ13uD-8Y/VfPA97rFGXI/AAAAAAABHc4/e-jUsQeTS5M/s640/400.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BGqC7lryl4g/VfPA91yRbmI/AAAAAAABHc8/6C2sCV-lizg/s640/403.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KPjCt49MsxQ/VheQ5yBN8xI/AAAAAAABJnU/S9zSKwCMXtg/s72-c/397.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI MPYA WA DENMARK NCHINI TANZANIA, EINAR HEBOGARD JENSEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPjCt49MsxQ/VheQ5yBN8xI/AAAAAAABJnU/S9zSKwCMXtg/s640/397.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fAmKLi5WSc4/VheQ7P-a0iI/AAAAAAABJnc/Mc5rFM1Z8p8/s640/423.jpg)
Denmark imeahidi kuendelea kuiunga Mkono Zanzibar katika harakati zake za Kiuchumi na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)