Abiria wanaotoka mikoa iliyoathirika kukaa Karantini Rukwa, wananchi wakitakiwa kuvaa barakoa
Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo.
KATIKA harakati za kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID – 19) Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo ametoa maelekezo kwa wananchi wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanavaa barakoa wanapokuwa katika mikusanyiko pamoja na maeneo yao ya kibiashara hasa kwa wale wanaohusika na kutoa huduma kwa jamii huku akivitaka vyombo husika kuhakikisha abiria wote wanaotoka katika maeneo yaliyoathirika ndani ya nchi kuingia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogABIRIA WANAOTOKA MIKOA ILIYOATHIRIKA KUAA KARANTINI RUKWA
KATIKA harakati za kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID – 19) Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo ametoa maelekezo kwa wananchi wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanavaa barakoa wanapokuwa katika mikusanyiko pamoja na maeneo yao ya kibiashara hasa kwa wale wanaohusika na kutoa huduma kwa jamii huku akivitaka vyombo husika kuhakikisha abiria wote wanaotoka katika maeneo yaliyoathirika ndani ya nchi kuingia...
5 years ago
Michuzi
RC MAKONDA ATANGAZA KUANZIA JUMATATU WANANCHI WOTE WANAOTOKA MAJUMBANI LAZIMA WAWE WAMEVAA BARAKOA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WANANCHI wa Jiji la Dar es Salaam hasa wale ambao wanatoka na kwenda kwenye shughuli mbalimbali wanatakiwa kuvaa barakoa kuanzia Jumatatu ya Aprili 20, mwaka huu kama hatua ya kukabiliana na virusi vya Corona na atakayekaidi atachukuliwa hatua kali.
Akizungumza leo Aprili 18, 2020 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema kuwa kuanzia Jumatatu watu wa Jiji hilo watatakiwa kuvaa...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege
5 years ago
Michuzi
RC Wangabo Awataka Wananchi Kulinda Mipaka Huku 49 Wakiwekwa Karantini Mkoani Rukwa



Afisa Afya wa Mkoa wa Rukwa Kennedy Kyauke akitoa elimu ya hatua za kunawa mikono kwa...
5 years ago
Michuzi
BALOZI SEIF: KUKAA KARANTINI SIO ADHABU

Balozi Seif Ali Iddi ametoa tahadhari hiyo huko Nyumbani Kwake Mtaa wa Kama Kaskazini Kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akitoa Taarifa kwa Umma baada ya kumaliza muda...
5 years ago
CCM Blog
KUINGIA BUGANDO KUANZIA LEO LAZIMA KUVAA BARAKOA

Kuanzia leo Aprili 24, 2020, mtu yeyote yule, wakiwemo wagonjwa ama ndugu za wagonjwa atakayeingia katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza, atatakiwa kuvaa barakoa na kuirejesha getini kabla ya kutoka, ikiwa ni hatua ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona.

5 years ago
CCM Blog
RAIS WA UGANDA: KUVAA BARAKOA NI LAZIMA SIO HIYARI

5 years ago
Michuzi
Wazazi, walezi wahimizwa kuvaa barakoa wanapopeleka watoto kliniki

Ofisa Afya wa Hospitali ya Wilaya Mvomero Veronica Donald akijaza taarifa kwenye kadi ya kliniki ya mtoto wa Bi.Pendo Kretu Mkazi wa Ruindo, Wilaya ya Mvomero, Morogoro. Picha na Englibert Kayombo.

Mtoto Mustapha Pangani (14) akiwa amempeleka mdogo wake Ismail Pangani (Mwaka mmoja na nusu) kliniki katika Zahanati ya Madizini wakihojiwa na mwandishi mwandamizi wa Gazeti la JAMVI LA HABARI, Veronica Mrema. Picha na Englibert Kayombo.

Muuguzi wa Zahanati ya Madizini, Wilayani Mvomero Bi....
5 years ago
Michuzi
UGANDA YALEGEZA MASHARTI YA 'LOCKDOWN', YATANGAZA KUVAA BARAKOA NI LAZIMA

Hatua hiyo ilitangazwa Jumatatu usiku ambapo rais Museveni alihutubia taifa baada ya kumaliza siku 35 za marufuku ya kutotoka nje ama 'lockdown'.
Museveni amesema watu wanaweza kuvalia mpaka barakoa ambazo zimeshonwa kienyeji na vitambaa.
Hata hivyo, kumekuwa na mashaka kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya ufnisi wa barakoa za kutengenezwa...