Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abiria wanaotoka mikoa iliyoathirika kukaa Karantini Rukwa, wananchi wakitakiwa kuvaa barakoa

Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo. 
KATIKA harakati za kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID – 19) Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo ametoa maelekezo kwa wananchi wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanavaa barakoa wanapokuwa katika mikusanyiko pamoja na maeneo yao ya kibiashara hasa kwa wale wanaohusika na kutoa huduma kwa jamii huku akivitaka vyombo husika kuhakikisha abiria wote wanaotoka katika maeneo yaliyoathirika ndani ya nchi kuingia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

ABIRIA WANAOTOKA MIKOA ILIYOATHIRIKA KUAA KARANTINI RUKWA

Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo. 
KATIKA harakati za kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID – 19) Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo ametoa maelekezo kwa wananchi wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanavaa barakoa wanapokuwa katika mikusanyiko pamoja na maeneo yao ya kibiashara hasa kwa wale wanaohusika na kutoa huduma kwa jamii huku akivitaka vyombo husika kuhakikisha abiria wote wanaotoka katika maeneo yaliyoathirika ndani ya nchi kuingia...

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA KUANZIA JUMATATU WANANCHI WOTE WANAOTOKA MAJUMBANI LAZIMA WAWE WAMEVAA BARAKOA

*Pia ataka kila familia ijadili inavyoweza kukabiliana na virusi vya Corona


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

WANANCHI wa Jiji la Dar es Salaam hasa wale ambao wanatoka na kwenda kwenye shughuli mbalimbali wanatakiwa kuvaa barakoa kuanzia Jumatatu ya Aprili 20, mwaka huu kama hatua ya kukabiliana na virusi vya Corona na atakayekaidi atachukuliwa hatua kali.

Akizungumza leo Aprili 18, 2020 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema kuwa kuanzia Jumatatu watu wa Jiji hilo watatakiwa kuvaa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege

Abiria wanaosafiri katika viwanja kadhaa vya ndege vya Uingereza sasa watahitajika kuvalia barakoa na glavu kwa sababu ya maradhi ya Covid- kumi na tisa

 

5 years ago

Michuzi

RC Wangabo Awataka Wananchi Kulinda Mipaka Huku 49 Wakiwekwa Karantini Mkoani Rukwa

Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo akizungumza na viongozi mbalimbali wa vijiji na vitongoji (hawapo pichani) vinavyopaka na mwambao wa ziwa Tanganyika katika kata za Korongwe na Kabwe Wilayani NkasiMkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo akizungumza na viongozi mbalimbali wa vijiji na vitongoji vinavyopaka na mwambao wa ziwa Tanganyika katika kata za Korongwe na Kabwe Wilayani Nkasi.
Afisa Afya wa Mkoa wa Rukwa Kennedy Kyauke akitoa elimu ya hatua za kunawa mikono kwa...

 

5 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF: KUKAA KARANTINI SIO ADHABU

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewatahadharisha Wananchi kuzingatia kwamba Karantini wanaowekewa Watu walioingia Nchini kutoka Nje ya Nchi sio adhabu  bali ni utaratibu unaozingatia Muongozo wa Wataalamu wa Afya katika mapambano dhidi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha Mafua na Homa Kali ya Mapafu.

Balozi Seif Ali Iddi ametoa tahadhari hiyo huko Nyumbani Kwake Mtaa wa Kama Kaskazini Kidogo ya Mji wa Zanzibar  wakati akitoa Taarifa kwa Umma baada ya kumaliza muda...

 

5 years ago

CCM Blog

KUINGIA BUGANDO KUANZIA LEO LAZIMA KUVAA BARAKOA


  Kuanzia leo Aprili 24, 2020, mtu yeyote yule, wakiwemo wagonjwa ama ndugu za wagonjwa atakayeingia katika Hospitali ya Bugando  jijini Mwanza, atatakiwa kuvaa barakoa na kuirejesha getini kabla ya kutoka, ikiwa ni hatua ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA UGANDA: KUVAA BARAKOA NI LAZIMA SIO HIYARI

    Kila mtu anapotoka nyumbani ni lazima avae barakoa , sio hiari kuvaa barakoa ni lazima ,tujikinge na corona , naambiwa kuna watu wameanza kunyanyasana hata kwenye familia , wanafamilia wengine hawataki kukaa pamoja , niwakumbushe tu familia ndio kila kitu maishani.

 

5 years ago

Michuzi

Wazazi, walezi wahimizwa kuvaa barakoa wanapopeleka watoto kliniki


Ofisa Afya wa Hospitali ya Wilaya Mvomero Veronica Donald akijaza taarifa kwenye kadi ya kliniki ya mtoto wa Bi.Pendo Kretu Mkazi wa Ruindo, Wilaya ya Mvomero, Morogoro. Picha na Englibert Kayombo.
Mtoto Mustapha Pangani (14) akiwa amempeleka mdogo wake Ismail Pangani (Mwaka mmoja na nusu) kliniki katika Zahanati ya Madizini wakihojiwa na mwandishi mwandamizi wa Gazeti la JAMVI LA HABARI, Veronica Mrema. Picha na Englibert Kayombo.
Muuguzi wa Zahanati ya Madizini, Wilayani Mvomero Bi....

 

5 years ago

Michuzi

UGANDA YALEGEZA MASHARTI YA 'LOCKDOWN', YATANGAZA KUVAA BARAKOA NI LAZIMA

Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa kuvaa barakoa ni jambo la lazima nchini humo kuanzia leo katika kipindi hiki ambacho marufuku ya kutotoka nje inalegezwa.

Hatua hiyo ilitangazwa Jumatatu usiku ambapo rais Museveni alihutubia taifa baada ya kumaliza siku 35 za marufuku ya kutotoka nje ama 'lockdown'.

Museveni amesema watu wanaweza kuvalia mpaka barakoa ambazo zimeshonwa kienyeji na vitambaa.

Hata hivyo, kumekuwa na mashaka kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya ufnisi wa barakoa za kutengenezwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani